Wakenya wange angalia VIZURI, coz Mimi naliona Kama zulia lenyewe lilikua jembamba lisinge watosheleza wote kupiga picha pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa leo tarehe 13/08/2017 ni siku ya watumia mkono wa kushoto duniani, hebu wana JF tunaotumia mashoto tujitambulishe hapa na tuwalete watu mashuhuri ambaye nao ni mashoto.
kwa upande wangu ni Mimi wa kwanza
1-rais wa kenya Uhuru Kenyatta
2- waziri mkuu wa Esrael Benyamin Netanyahu
3- alietoa...
Iyo yakulipwa dola 1000$ ipo(kasema mwenyewe) lakini sio kutokana na huduma za maombezi, bali yeye ni mhadhiri ya baaadhi vyuo vikuu ulaya na ni dektari wa falsafa
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani: Askofu Josephat Gwajima atunukiwa tuzo ya mtu mashuhuri duniani huko katika jiji la Birmingham jimbo la Alabama USA
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naanza na huyu hapa aliyewahi kuwa Rais wa India Mr Abdulkalaam, yeye achililia mbali kuwa na mtoto, tangia azaliwe yeye hajaoa na hajafanya tendo la ndoa na nimwanaume wa mbegu "RIJALI".
wapili aliyekua Rais wa Djabouti Marhemu Hassan Guled Abtidoon, yeye hakuwahi kuzaa mtoto
Sent...
Kwanza kabila hili ndio kabila dogo zaidi nchini Tanzania idadi yao ni karibu watu elfu moja maisha yao hutegemea uwindaji na mazao ya porini.
.
Wahadzabe wanaoana kwa mahari ya Nyani wawili na debe la asali ambaye kwa kabila lao ndio vitu vyenye thamani zaidi
Sent using Jamii Forums mobile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.