SEGUZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 280
- 196
Ikiwa leo tarehe 13/08/2017 ni siku ya watumia mkono wa kushoto duniani, hebu wana JF tunaotumia mashoto tujitambulishe hapa na tuwalete watu mashuhuri ambaye nao ni mashoto.
kwa upande wangu ni Mimi wa kwanza
1-rais wa kenya Uhuru Kenyatta
2- waziri mkuu wa Esrael Benyamin Netanyahu
3- alietoa rais wa MAREKANI Barack Obama
4-msanii Anjelina Jolie
5-msanii Justin Bieber
6- Lady Gaga
7- Eminem
8- na hawa wacheza Tenis mashuhuri
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa upande wangu ni Mimi wa kwanza
1-rais wa kenya Uhuru Kenyatta
2- waziri mkuu wa Esrael Benyamin Netanyahu
3- alietoa rais wa MAREKANI Barack Obama
4-msanii Anjelina Jolie
5-msanii Justin Bieber
6- Lady Gaga
7- Eminem
8- na hawa wacheza Tenis mashuhuri
Sent using Jamii Forums mobile app