Recent content by sefu ally w

  1. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

    Ni kweli kk lazima urisk ila naamini hii inawezakuwa na kausalama kidogo na pia wanakupa $9 bure na unaongeza $2 unaanza ku invest.Mimi pia naendelea nayo acha tuone huenda ikawa na mwanga kutokana zama hizi tulizonazo za kimtandao zaidi
  2. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

    Ni kweli kk hata mimi nimeanza kufanya nayo kazi,na hawana masharti magumu ukitaka kutoa pesa mda unaotaka.Na pia ina usalama wa fedha kiasi fulani
  3. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

    Habari! Vipi kuna platform moja inaitwa dealno1,unajiunga bure nayo ushawahi kuisikia? Naona wengi wanajiunga wanadai inalipa kutegemea na capital uliyonayo kwenye account yako.
  4. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Kama ulikosa mechi ya Italy vs North Macedonia, wewe si mwanamichezo

    Duh mbona kama Italy washatolewa maana watakutana na Portugal.
  5. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa Wanaobeti 22bet

    Sport pesa wako vizuri yaani ukishinda tu ndani ya dakika wanakuingizia mkwanja hata kudeposit ni easy sana.
  6. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Vipi Kama ukiwa na GPA 2.9 utawezaje kusoma na kupata degree? Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
  7. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania OTES: Shule kutoandikwa ya Msingi au ya Sekondari, unazijuaje?

    Kuna rafiki zangu wamemaliza 2020 wameomba na mfumo umekubali Ila kupata ni inshu nyinine,jaribu mkuu
  8. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Kwa Walimu wenye ujuzi wa kufundisha masomo haya, tukutane tufanye mradi

    Habari ndugu! mimi pia nipo tayari kwa hiyo project,nafundisha Physics na Mathematics.
  9. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya ualimu(mathematics)

    Shule gani walikwambia wanahitaji wa Phy&Maths? mimi pia nahitaji ila kwa O-level(phy&maths).
  10. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Fursa kwa Walimu wa sayansi na sanaa walio jijini Dar es salaam

    Mkuu mm nipo tayari na pia npo mbagala kizuiani, mob no.0653670706,tunaweza kuwasiliana zaidi.
  11. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Fursa kwa Walimu wa sayansi na sanaa walio jijini Dar es salaam

    Mkuu nipo tayari mm pia nipo mbagala kizuini,tuwasiliani tujue chakufanya
  12. sefu ally w

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Kufundisha Shule ya Msingi Wanahitajika

    Mimi ulinipigia leo j5 umesema utanitafuta watsapp,ila naona kimya ndo nasubiria
  13. sefu ally w

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitokaa niwasamehe wazazi wangu kwa kunikatalia kumuoa binti niliyempenda kisa tofauti zetu za Dini

    Pole sana ila laana nayo huwez pata kirahisi hivyo kama wafikiriavyo,laana humpata alietenda makosa kama uko sahihi baki na msimamo wako
  14. sefu ally w

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Asante Mungu kwa kunipa mke huyu

    Hongera sana mkuu jitahd sana usichepuke kwani zinaa ni deni na lazima lije lilipwe ima kwa mke wako au ndugu wa karibu.Kuwa makini sana mkuu.
Back
Top Bottom