Natafuta kazi ya ualimu(mathematics)

IWAMBI

JF-Expert Member
Dec 5, 2018
730
624
Habari yenu wakuu,elimu yangu ni shahada ya kwanza ya elimu katika masomo ya mathematics&geography.Natafuta kazi ya kufundisha katika shule ya sekondari private yoyote tanzania(O-level or A-level or Chuo chochote cha diploma).Mtu yoyote anayeweza kunisaidia or kuniunganisha na mtu or shule yenye uhitaji wa mwalimu wa hayo masomo anaweza ni PM kwa details zaidi.
Ninakaribisha michango yenu ya mawazo na hata kuni challenge mnaruhusiwa....ahsanteni
 
Habari yenu wakuu,elimu yangu ni shahada ya kwanza ya elimu katika masomo ya mathematics&geography.Natafuta kazi ya kufundisha katika shule ya sekondari private yoyote tanzania(O-level or A-level or Chuo chochote cha diploma).Mtu yoyote anayeweza kunisaidia or kuniunganisha na mtu or shule yenye uhitaji wa mwalimu wa hayo masomo anaweza ni PM kwa details zaidi.
Ninakaribisha michango yenu ya mawazo na hata kuni challenge mnaruhusiwa....ahsanteni
umemaliza. Chuo gani
 
Kodi chumba cha kutumia kama darasa maeneo karibu na shule za sekondari, hasa maeneo ya mijini...fungua kituo cha kufundisha masomo hayo kwa muda wa ziada kwa wanafunzi. Weka bei inayokidhi mahitaji ya kulipia chumba na ya kwako binafsi kwa hali ya chini kabisa na faida ya asilimia 0.5. Hakikisha unatumia ujuzi wako wote kuwafundisha wanafunzi kuelewa nao waelewe. Nina kupa miezi sita utaanza kupanga shifti za wanafunzi wa kufundisha. Lakini kumbuka wewe malengo yako ni baadaye yawe kuanzisha shule yako binafsi inayotambulika na iliyosajiliwa na serikali yaani shule ya sekondari baadaye chuo cha kati na chuo kikuu. Inawezekana.
Hii ndiyo 'challenge' ninayokupa kwa sasa.
 
Kodi chumba cha kutumia kama darasa maeneo karibu na shule za sekondari, hasa maeneo ya mijini...fungua kituo cha kufundisha masomo hayo kwa muda wa ziada kwa wanafunzi. Weka bei inayokidhi mahitaji ya kulipia chumba na ya kwako binafsi kwa hali ya chini kabisa na faida ya asilimia 0.5. Hakikisha unatumia ujuzi wako wote kuwafundisha wanafunzi kuelewa nao waelewe. Nina kupa miezi sita utaanza kupanga shifti za wanafunzi wa kufundisha. Lakini kumbuka wewe malengo yako ni baadaye yawe kuanzisha shule yako binafsi inayotambulika na iliyosajiliwa na serikali yaani shule ya sekondari baadaye chuo cha kati na chuo kikuu. Inawezekana.
Hii ndiyo 'challenge' ninayokupa kwa sasa.
mawazo mazuri sana nimepata kitu hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom