Recent content by seedfarm

  1. seedfarm

    RC Chalamila ahoji kama Bandari imeuzwa mbona soko la Ferry bado lipo. Asema waliopotosha wote wako ndani na wataendelea kukamatwa wakiibuka wengine

    Chanzo ni East Africa Tv, Akizungumza katika kipindi cha superbreakfast leo asubuhi ,Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert chalamila amesisitiza wote wanaopinga bandari watakamatwa na kuwekwa ndani na yeye mwenyewe ata dili na wote wanaopinga mmoja mmoja mpaka watakapoisha Mpaka sasa amesisitiza...
  2. seedfarm

    Adv Mwambukusi: Watanzania bora mumwamini shetani na siyo Waziri Mkuu

    Wakili Mwabukusi anasema Waziri mkuu Kassim Majaliwa ndie mtu wa mwisho kabisa watanzania hawapaswi kumuamini kwani ni muongo na hana aibu,Anadanganya na wala hakumbuki kuomba msamaha kwa uwongo wake. Wakili Mwabukusi,Waziri mkuu ndie mtu wa kwanza alipaswa kujiuzulu kuhusu mambo ya bandari...
  3. seedfarm

    Swali Fikirishi: Kuna undugu gani kati ya Nnpe Nnauye na Profesa Mark Mwandosya?

    Hili ni swali fikirishi kwa wale wanaolinganisha siasa za muonekano yaani Facial morphology ya mtu na watu fulani. Siasa za Facial morphology kuna wakati zilimfananisha Bernad Membe na Jakaya kikwete,Zilizua maneno mengi sana na propaganda nyingi sana ,Swali la Membe Bernard na Kikwete Jakaya...
  4. seedfarm

    General Ulimwengu: Bunge lililopo haliwawakilshi wananchi ,Wale 19 wanamuwakilisha nani?

    Akiwa katika mjadala wa masuala ya mkataba wa serikali na Dubai ,Jenerali ulimwengu amesema bunge lililopo sasa ni bunge ambalo lipo lipo tu na halijulikani linamuwakilisha nani Jenerali ulimwengu anasema bunge lenyewe sio halali kwani wale wabunge wanaongea ongea sijui wanaongea kwa niaba ya...
  5. seedfarm

    Kassim Majaliwa anatoa wapi mamlaka ya kubadili sheria za TRA?

    Tuache siasa kwenye mambo yaliyotungiwa sheria na bunge na ambayo mtu binafsi kama waziri mkuu hawezi kuyatengua kwa maneno ya jukwaani bila barua au muongozo Matamko ya waziri mkuu kassim Majaliwa kariakoo kuwa TRA wafanye kazi kwa kauli zao za majukwaani bila barua au marekebisho ya sheria...
  6. seedfarm

    Swali fyatu: Je, kila nchi wana Mwezi na Jua tofauti?

    Sijaelewa Jua la Dar es Salaam ndio hilo hilo Jua la Arusha, Je kuna Jua la Arusha na Dar es Salaam Mwezi unaonekana Tandahimba ndio huo unaonekana Tanga au ni tofauti
  7. seedfarm

    Swali fyatu: Je, kila nchi wana Mwezi na Jua tofauti?

    Hili ni swali fyatu kwa watu wadadisi wa mambo. Je, Jua linaloonekana Marekani ni tofauti na Jua la bara la Afrika? Kuna aina ngapi za Jua? Ni Jua moja kweli? Je, mwezi unaonekana Saudi Arabia ndio huo huo mwezi unaonekana Afrika? Kuna Mwezi aina ngapi? Ni mwezi mmoja huo huo?
  8. seedfarm

    Luhaga Mpina amerudisha ekari zaidi ya 1000 za wakulima Morogoro?

    Hii Tanzania mtu akipiga yeye pesa ni sahihi,wakipiga wengine ni kelele
  9. seedfarm

    Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

    Mbunge Mama Masubiri akichangia hoja bungeni amesema kuna viongozi wanawafahamu ni mashoga ndio maana kuna ukakasi kwenye kukemea jambo hilo Mbunge Mama Masaburi amesema zamani wao ukizaa mtoto wa kiume unasema nimezaa mjeshi lakini siku hizi watoto wa kiume ni nyoronyoro sana Mbunge Mama...
  10. seedfarm

    Luhaga Mpina amerudisha ekari zaidi ya 1000 za wakulima Morogoro?

    Gazeti la mwananchi lilishaandika makala juu yako wewe Luhanga Mpina mbona hujakanusha mpaka Leo kuhusu hizo ekari ulizopora Morogoro Katika kijiji cha dala Mwezi February mwaka 2021 tarehe 24 taarifa zako zilimfikia Katibu mkuu wa wakati huo Dkt Bashiru na kuchapwa kwenye gazeti la mwananchi...
  11. seedfarm

    Freeman Mbowe: David Silinde ni Yuda Iskariote. Aliendesha siasa za utekaji Tunduma

    Akiwa mbele ya halaiki kubwa mjini Tunduma kwenye mkutano uliohudhuria na maelfu kwa maelfu ya watu Mbowe ameyaongea yafuatayo kwa kunukuu; "Damu ya wana Tunduma itamlilia David Silinde daima kwa kusaliti CHADEMA na kuamua kumuamini mwanadamu (John Magufuli) badala ya kumuamini muumba wa mbingu...
  12. seedfarm

    Rais Samia kwa hili la kuruhusu Mashirika ya Umma kuajiri nakupa pongezi sana

    Kupata kazi ndio kutoboa, Lengo la kazi ni kutuibia wananchi au?
  13. seedfarm

    Tundu Lissu: Sijawahi kuwa na adui hapa Tanzania, nina marafiki zangu CCM na Serikalini

    Unaijua ccm wewe,? Huna ajira unaishi kwa Dada Halafu unaigiza hapa JF Fanya kazi achana na mambo ya JF Hili sio jukwaa la udaku na umbeya
Back
Top Bottom