Recent content by second king

  1. second king

    Uzazi wa mpango

    Hapo zaman; wazee walikua wanaenda Tanga kukata mkonge mara baada ya wake zao kujifungua na kurudi baada ya miaka 2+. Hii ilikua ni moja ya njia ya uzazi wa mpango
  2. second king

    Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

    Habari ya weekend wanajukwaa, Napenda kuwauliza: Hivi kama unataka kuwa na idadi fulani ya watoto let say watatu/nne, ipi ni njia nzuri kuitumia baada ya kutimiza idadi hiyo ambayo itakuwa haina madhara kwa mke/mume? Ukizingitia ndo mwisho wa kuendelea kuzaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. second king

    Serikali Yamwaga ajira kwa walimu, Yatangaza nafasi 92 kwa ngazi ya shahada nchi nzima

    Nafasi 92?!!!! Hii ni hatari kwa wenye degree tena ni 2015 & 2016 Sent using Jamii Forums mobile app
  4. second king

    Ziara Ya Rais Magufuli Pwani: Yaliyojiri kutoka Viwanja Vya Bwawani Kibaha Mjini

    Huyo jamaa sijui kaongelea nini maana alikua hajajipanga chakuzungumza
  5. second king

    Tuelimishane hapa kuhusu hii bahati na sibu ya BIKO

    Et jumatano (kesho kutwa) wanatangaza mshind wa 20m!!!!!
  6. second king

    Natafuta kazi nina Bachelor ya International Relations

    Angekuwa wa chuo kingine angepata ajira?
  7. second king

    Athari za kutumia njia za uzazi wa mpango za kisasa

    Sasa ukitaka kuacha kuzaa kabisa baada ya kuwa na watoto mliojipangia, let say watatu, ipi ni njia sahihi ya kuzuia kupata mimba?
  8. second king

    Serikali kutoa ajira mpya za watumishi 52,436

    Uhakiki wa vyeti kwa idadi hyo utachukua zaidi ya miaka 2; "Rejea uhakiki wa walimu wa science 3000"
  9. second king

    Hivi walimu wa Postgraduate diploma ya Sayansi wamepangiwa Ajira sasa?

    Wameajiriwa lakini wengi wameachwa nashangaa wizara haijatoa tamko juu yao labda wamewekwa reserve kwani waziri wa Tamisemi alisema bado nafasi 1048 hivi!![emoji31] [emoji31] [emoji6]
  10. second king

    Ajira mpya za walimu: Ni makosa ya kiufundi au ndio Double Standard?

    Jamani hata wa science/mathematics hawaajiriwa wote! (Bado hawajahakikiwa)
Back
Top Bottom