Natafuta kazi nina Bachelor ya International Relations

Chiblak

JF-Expert Member
Jul 3, 2014
662
919
Kwa yeyote mwenye uwezo na nia ya kusaidia vijana wa kitanzania wenye shauku ya kuleta mabadiliko katika nyanja mbalimbali hapa nchini anisaidie kupata ajira nina bachelor degree ya internationl relations.
 
Jiajiri mkuu... kama vipi kasome tena chuo cha ufundi ili uweze kujiajiri... siku hizi ajira n ngum halafu kwa kozi yako unaeza kwenda kwenye mashirika ya kimataifa (NGO)
 
IR kwa utawala wa Magu haina ishu. Jamaa anaweka makada wa ccm watiifu hata kama ni drs la 7 ama f4.

Ushauri: Nunua redio yenye spika kubwa, halafu tafuta kadi ya ccm, fulana ya kijani na kofia ya njano. Nunua na CD zenye nyimbo za CCM.

Kisha nendä center ya mji unaoishi piga miziki ya ccm na kucheza kutwa nzima, siku saba za wiki, miezi mitatu mfululizo. Huku ukiwa umevaa fulana ya kijani na kofia ya njano. Utapata kazi
 
Hehehee...Kama ni bair..Umepotea njia ndugu..Ajira utasubiri mpaka uzeeke...Hizo course zilianzishwa kisiasa tu..Ushaona wapi course haina kwenda field?

Kimsingi hiyo course ni tegemezi na haina tija sana kwenye serikali hii ya tanzania..Ushawai kuona wapi balozi kijana?..Ukiona balozi ujue utasikia alikuwa kamishna fulani mstaafu au mtumishi fulani.

Ni mwendo wakupeana tu. Nashauri futa kabisa wazo lakuajiriwa jiajiri kwa jambo lingine utafanikiwa unless otherwise unataka ufe na stress.
 
Hehehee...Kama ni bair..Umepotea njia ndugu..Ajira utasubiri mpaka uzeeke...Hizo course zilianzishwa kisiasa tu..Ushaona wapi course haina kwenda field?..Kimsingi hiyo course ni tegemezi na haina tija sana kwenye serikali hii ya tanzania..Ushawai kuona wapi balozi kijana?..Ukiona balozi ujue utasikia alikuwa kamishna fulani mstaafu au mtumishi fulani..Ni mwendo wakupeana tu.Nashauri futa kabisa wazo lakuajiriwa jiajiri kwa jambo lingine utafanikiwa unless otherwise unataka ufe na stress.
Utaua mtu kwa Pressure mkuu
 
HEHEHEE...KAMA NI BAIR..UMEPOTEA NJIA NDUGU..AJIRA UTASUBIRI MPAKA UZEEKE...HIZO COURSE ZILIANZISHWA KISIASA TU..USHAONA WAPI COURSE HAINA KWENDA FIELD?..KIMSINGI HIYO COURSE NI TEGEMEZI NA HAINA TIJA SANA KWENYE SERIKALI HII YA TANZANIA..USHAWAI KUONA WAPI BALOZI KIJANA?..UKIONA BALOZI UJUE UTASIKIA ALIKUWA KAMISHNA FULANI MSTAAFU AU MTUMISHI FULANI..NI MWENDO WAKUPEANA TU.NASHAURI FUTA KABISA WAZO LAKUAJIRIWA JIAJIRI KWA JAMBO LINGINE UTAFANIKIWA UNLESS OTHERWISE UNATAKA UFE NA STRESS.
Duuh
 
Ngoja kwanza tumalize zoezi la uhakiki halafu tutakufikilia. Ila kwa sasa, nenda kaanzishe kiwanda kidogo cha ushonaji.
 
Kwa yeyote mwenye uwezo na nia ya kusaidia vijana wa kitanzania wenye shauku ya kuleta mabadiliko katika nyanja mbalimbali hapa nchini anisaidie kupata ajira nina bachelor degree ya internationl relations.
Mkuu kama una shahada ya international relations nenda Arusha huko kuna mazungu yamekuja nchini kutalii, anza kuhusiana nayo ki-international. Si una maujuzi mkuu ? Usibweteke mkuu jiajiri.
 
Back
Top Bottom