Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
- Thread starter
- #21
Singida 1-1 Leopard
Dk 70
Ndio ndio 1-1Leopard wamerudisha
ngapi ngapi mkuu?Singida mwafaaaaz
Bado 1_1ngapi ngapi mkuu?
Ni shida kwa kweli!Ninaangalia mpira ITV muda huu, ila wanachokionesha hakiridhishi kwa kweli. Hawarudii matukio muhimu na hatujui mpira ni dakika ya ngapi wala mabao ni ngapi kwa ngapi?
ITV kuweni makini jamani. Hebu wekeni stats za mpira hapo, angalau tujue ni timu gani zinacheza, ni dakika ya ngapi na magoli ni mangapi kwa mangapi, wekeni score board hapo. Tunaofuatilia tunapata Taabu.
Naona saivi wameweka angalau magoli na timu zinazocheza.Wanaonekana wachezaji tu.haisee tupo nyuma sana
Updates plz wengine tuko mbali na tvPenalti zinapigwa sasa..