SPORTPESA SUPER CUP SPECIAL THREAD: Taarifa za Mechi zote na matokeo yote mpaka Ubingwa

1596be1f492a65d491431f866153168c.jpg

Singida 1-1 Leopard
Dk 70
 
Ninaangalia mpira ITV muda huu, ila wanachokionesha hakiridhishi kwa kweli. Hawarudii matukio muhimu na hatujui mpira ni dakika ya ngapi wala mabao ni ngapi kwa ngapi?

ITV kuweni makini jamani. Hebu wekeni stats za mpira hapo, angalau tujue ni timu gani zinacheza, ni dakika ya ngapi na magoli ni mangapi kwa mangapi, wekeni score board hapo. Tunaofuatilia tunapata Taabu.
 
Ninaangalia mpira ITV muda huu, ila wanachokionesha hakiridhishi kwa kweli. Hawarudii matukio muhimu na hatujui mpira ni dakika ya ngapi wala mabao ni ngapi kwa ngapi?

ITV kuweni makini jamani. Hebu wekeni stats za mpira hapo, angalau tujue ni timu gani zinacheza, ni dakika ya ngapi na magoli ni mangapi kwa mangapi, wekeni score board hapo. Tunaofuatilia tunapata Taabu.
Ni shida kwa kweli!
 
Katika hili Sportpesa wamechemka sana..Wangewapa hata Star TV au TBC...

Hawaoneshi dakika, hawaoneshi mfungaji anayeingia/anayetoka..Hawaoneshi hata penati zilizofungwa ama kupotezwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom