Wamekula mtonyo ha ha ha wangemlipa mgombe urais wa UKAWA asigombee tungeumia sana miyon ila hao wanaofanya biasha wala hatunao shida waende tuu unajua kula watatuletea tuu tuitoe serikal iliyopo madarakan na chama chake
Wanaokishabikia chama cha serkal iliopo madarakan wa wanajua ivi
huduma ya afya kwa mama mja mzito, aliyejifungua, mototo na wazee ni bureeeeeee.
Elimu ya sekondari ni boraaaaaa na inatolewa kwa tsh 20,000 na 70,000 tuuuuuuu.
Pembejeo za kilimo ni bei rahisi na havina kodi na mazao pia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.