Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Leo nimezungumza na waziri mmoja kijana sitomtaja jina maana anajua mi niko chama chake na mimi ni mchangiaji mzuri .
Ni kweli wamelipwa million 50 kila mmoja na ilo deal la ushawishi lilifanywa na Wema na Steve.
Lakini hiyo pesa si kujitoa tu Ukawa bali pia ni mkataba wa kuifanyia kampeni ccm pia.Si kutoka tu.
Kampeni zitakuwa kwenye mitandao ya kijamii,kwenye vyombo vya habari na majukwaa huo ndio mkataba ulivyo.
Na chanzo kinasema walivyotajiwa million 50 wala hawakutafakari mara 2 moja kwa moja walikubali maana wanasema sanaa nayo inazingua sasa sio kama alivyokuwa Kanumba walikuwa wanapata pesa na.mwamko ulikuwa mkubwa wa watu kununua kazi zao,sasa hivi watu eti wameacha kununua wanakodi vibandani na kubani.
Chanzo pia kinasema wamejaribu kumshawishi jackline lakin imeshindikana kabisa.
Ni hayo
Ni kweli wamelipwa million 50 kila mmoja na ilo deal la ushawishi lilifanywa na Wema na Steve.
Lakini hiyo pesa si kujitoa tu Ukawa bali pia ni mkataba wa kuifanyia kampeni ccm pia.Si kutoka tu.
Kampeni zitakuwa kwenye mitandao ya kijamii,kwenye vyombo vya habari na majukwaa huo ndio mkataba ulivyo.
Na chanzo kinasema walivyotajiwa million 50 wala hawakutafakari mara 2 moja kwa moja walikubali maana wanasema sanaa nayo inazingua sasa sio kama alivyokuwa Kanumba walikuwa wanapata pesa na.mwamko ulikuwa mkubwa wa watu kununua kazi zao,sasa hivi watu eti wameacha kununua wanakodi vibandani na kubani.
Chanzo pia kinasema wamejaribu kumshawishi jackline lakin imeshindikana kabisa.
Ni hayo