Kaka unajua maana ya ndoa?... na ilo tendo linaitwa TENDO LA NDOA tafsir yake ni kuwa tendo hilo ndio nguzo kuu na hayo mengine ndani ya ndoa ni ziada, cha zaidi naunga mkono wa mumu ww unamuendekeza!
Na Standard Charted kama waligoma kutoa izo taarifa na ziliombwa na mamlaka niliyokutajia basi kaa ukielewa kuwa kulikuwa na mamlaka zaid ya hyo iliyozuia kutokutolewa izo taarifa nadhani umenielewa.....maana kuna mamlaka inayozid mamlaka yote na hakuna mtu wa kuulza why this!!
Pascal,..ngoja nikuweke sawa kwa issue yako uliyoulza yamkini hata wanajamvi pia umewachanganya kidogo..Benki yeyote ya kibiashara ikiombwa documents na baadh ya taasisi za serikali kama TRA, POLICE NOTICE, OSHA, BoT, Mahakama benki husika huwa kunakitengo cha legal department! Na mara nying...
Kufungwa kwa Commercial Bank yeyote, taratibu zipo wazi kabsa under Central bank Act...kile kilichotokea ni presidential order ya kuzuia BoT asitoe msaada wa kifedha kwa benki yeyote ambayo inasua kimtaji,ili hali miongoni mwa kazi za Central Benks duniani kote...nikutoa mikopo kwenye izo...
Ujue ni ujinga tu na upumbaf wa watu wachache kuwaharibia wengi...siku izi mambo kidigital just mawasiliano then mzigo unakufikia sema kupitia expansion joint huo wengne wanapiga deal.....mtu nipo Tanzania naagiza simu ya Lenovo naipata sembuse vifaranga, akichomwa moto huyo akili itamkaa sawa...
Ivi waelewa kufanya sex kunatokana na ubongo kuuweka ktk mazingra hayo? Kwamaana umeruhusu akili kuwaza sex most of time, tiba pekee ya huo ugonjwa ebu jaribu kuhamisha mawazo yako kwenye kitu au shughuli nyingne utaona mihemko yako imekata kabsaa, mfano ukiwa na kitu ambacho daily lazma...
Waweza poteza muda kumjadili huyo kweli, anamadhara gani kwenye nchi labda, hata ile kata anayoishi? Ni jamaa mmoja tu kaamua kupotezea watanzania muda wao
Hahahaha...uolewaji ni responsibility na accountability, na kwenye mahusiano kile unachokiona kwako kidogo kwa mwenzio cha wezakuwa kikubwa saana, na chaweza leta kutofautiana kiasi cha kuachana kabsaa.
Dada umeeleza kwa uchungu saana hadi huruma, kwenye mahusiano iko ivi huyo bwana ako angetangulia kuleta uzi hapa akajaribu kueleza mapunguf yako raia wa JF pia wengi tu wange mshauri aachane na ww hata kesho,...bt ww umeanza na umetoa mapunguf ya mwenzio it's fine, nn cha kufanya then angalia...
Yeah Sexless:
Hyo issue nishaiona kwa mtu kabsaa inafanana na issue yako mpaka dakika hii kila mtu anaishi kivyake so plz on my view hata kitendo cha ww kusemea JF moyo wako umekuwa HURU na Mungu kaona...kikubwa just tumia ujanja wote izo gharama za hospital daily zisiendelee tena hope u'r...
Pole saana na confession yako itakuweka huru bt shida ya sisi watu wa bara hili ukweli huwa hatutaki kuuskia, na possibly ukimweleza ukweli mmeo atafikiria mambo mengi mpka akachukie yamkin akakuwazia ulikuwa malaya kumbe just ilitokea tu as accident...au yy itampa mawazo kuish na mtu asieweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.