Labda katumwa kufanya maandalizi ya kurejea kwa TL nchini.Ni kitambo kimepita bila kumsikia ama kusikia taarifa kumhusu Mkuu wetu wa mkoa Ndugu. Makonda.
Hata leo Mkuu wa nchi wakati anarejea kutokea "Nchini" Zanzibar, amepokelewa na Mkuu wa Wilaya kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa.
Kwa wenye kufahamu alipo Mkuu wetu wa mkoa; nawaomba mnijuze.
Mapendo,
TANMO.
Hajui hata "A"....Kumbe bado mnamkumbuka! huyo ndio kiboko yenu waongo na wafitini.
Makonda piga kazi baba
mke mwenzie coco huyuKumbe bado mnamkumbuka! huyo ndio kiboko yenu waongo na wafitini.
Makonda piga kazi baba
Shssssssh utamuamsha cocoNi kitambo kimepita bila kumsikia ama kusikia taarifa kumhusu Mkuu wetu wa mkoa Ndugu. Makonda.
Hata leo Mkuu wa nchi wakati anarejea kutokea "Nchini" Zanzibar, amepokelewa na Mkuu wa Wilaya kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa.
Kwa wenye kufahamu alipo Mkuu wetu wa mkoa; nawaomba mnijuze.
Mapendo,
TANMO.

Reply ya kufunga mwaka aiseeePepa linakaribia si QT yule acha apige msuli alete vyeti

Kama Mkuu wa Mkoa Kiongozi yuko busy anajipanga kuhamia Dodoma.Desemba hii Mkuu wetu wa Mkoa amekuwa kimya sana.
Wafuatiliaji wa mambo wamenidokeza kuwa hata Sherehe za Uhuru hakuambatana na Mheshimiwa Rais kama ilivyo desturi ya viongozi wetu hawa Wapendwa kupeana sapoti.
U wapi mkuu wangu wa Mkoa Makonda?
Inaonekana wewe ulisoma masomo ya QT. Hadi unajua time table zake, kweli uko poa.Pepa linakaribia si QT yule acha apige msuli alete vyeti