MUBIKU
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 276
- 376
Habar za majukumu wakuu, mm n kijana wa miaka 25 jinsia ya kiume nimekuwa nikisumbuliwa na (ashiki/shauku/mihemko) ya kufanya mapenz mara kwa mara, baada ya kuachana na michepuko na kuamua kuutulia kwajili ya kuingia kwenye ndoa , niliamua kumchagua mwanamke mmoja wa maisha yangu lengo ni awe mke na mama watoto wangu, yatupata miaka mitatu sasa ktk mahusiano yetu ila tatzo kubwa linalonisibu kwa sasa ni kuwa na hitajio la kufanya mapenzi na huyu mke wang mtarajiwa mara kwa mara jambo ambalo naona fika yeye halimfurahishi inafika kipind anaona ni kero, mara anatoa visingizio vingi vya kuchoka na kuumwa ila baada ya kutafakar sana nikagundua hitajio langu la mara kwa mara sex kwako ni kikwazo mana kwa wiki nahtaji kufanya mapenzi mara nne. Ahsanteen niko tayar kusikiliza ushaur ili niepukane na swala la shauku ya kufanya mapenzi mara kwa mara.