Next election majina ya wabunge wa namna hii hayarudi baada ya kula za maoni. Wanaharibu sifa ya chama sisi tunataka amani na maridhiano wao wanapandikiza mbegu ya chuki. Hayo ni mawazo yake binafsi chama hakikumtuma kuropoka hayo.
Anza wewe kama mfano siyo kubwabwaja tu. Kaanga karanga uuze halafu utunze familia na kusomesha watoto. Usijifanye unajua mipangilio kumbe ni zero brain.
Ni kweli kiswahili hasa nahau zinahitaji ufahamu mi nimemuelewa; kiswahili ni kigumu si rahisi kama wengi wanavyofikiri. Wimbo una ujumbe mzito na maana kubwa uzuri Wa Ngosha huwa anaimba maisha halisi siyo kama wabana pua kila siku mapenzi. Mara utawasikia ooh usiku silali lakini nakuota. Ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.