Wewe mda wote unaleta mambo ya siasa za Chadema na CCM hivi huna vituvingine vya kuchangamsha ubongo wako? Wewe unashangaa mambo wanayofanya TFF ila kama Mbowe atafanyiwa uchunguzi wa matumizi ya Fedha za ruzuku ambazo ni kodi za wananchi, Wizi na utafunaji wake wa fedha hizo za ruzuku kwa muda...
Katika abiria wapenzi wakubwa wa bombardier ni Zito Kabwe. Zito huyuhuyu ana zikashifu. Akisha tafuna Korosho na Juice anatoa kitabu chake anaanza kusoma. Safari Kigoma.
Waliposema upinzani imeishiwa hoja nilijua ni propaganda nyeusi. Kwajinsi wapinzaniwasasawanavyo toa hoja zao naamini uu utakua mdololo wa siasa za upinzani nchini.
Na hili si jambo la kufurahia kwakuwa Serikali inakosa changamoto za ukweli ili ijitathmini na kujikosoa.
Ingekuwa tungwa...
Makonda hujashindwa vita, nakushauri kwasasa usishambulie, jifiche kwenye Ngome.
Gwajimaamejificha nyuma ya raia, kwahiyo ukishambulia uta uwa raia na lawama zitarudi kwako. Kitaalamu Gwajimaamefanya human shield kajificha kwenye watu.
Kibaya zaidi Gwajima amekalia eneo lako muhimu...
Unatia aibu kufuatilia mamboya watu kwa kiasi hicho. kama waliofanyiwafujo wakiona inafaa watafungua kesi.
Ila nahisi hakuna kesi, kwakuwa urafiki wa hao jamaa niwamuda mrefu kuliko hao wanao wachochea simuda mrefu Makonda na clouds watafanya kazi tena.
Mawingu wana Unyumbufu(Flexibility) mkubwa, wataendelea kufanyakazi na Makonda na maisha yataendelea. kamakweli watafuata profesionalism kitu ambacho boss Luge anacho, atakwenyehilisakata amezungumzia. Hawana namna wasifanyekazi na Makonda. Zaidi hawa watu wamefahamiana kwa miaka mingi...
Msije mkamjalibu JPM alisshasena, yupotayari kulivunja bunge Mrudi kwenye Sanduku la kura, mimi nina imani JPM atarudi kwenye nafasiyake lakini kunawabunge hawatarudia.
Sisi wananchi tunamuunga mkono na tutalionyesha hilo 2020 asubui tu. Unga umemaliza vijanawetu alafu leo mnataka tuwaunge mkono.
JPM endelea kuwapuuza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.