Recent content by Scars

  1. Scars

    JamiiForums Tanzania Man U wanapiga mtu huko EFL Cup

    Haya mambo yaonage tu kwa mwenzako
  2. Scars

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    3 huko Kama sio umazafaka ni nini?
  3. Scars

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Back pass kwenye half yetu zimekuwa zikitugharimu sana tukikutana na mpinzani mwenye high press. Hapa tutamlaumu sana Carrick ila wachezaji kwa asilimia kubwa wanashiriki kupoteza alama 3 kwenye mechi zetu.
  4. Scars

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Shenzi kabisa
  5. Scars

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hii Man United ni kama ina laana aisee
  6. Scars

    JamiiForums Tanzania Makonda afika Barcelona, akabidhi jezi yenye jina la SAMIA na lake

    Hii Club ndio maana siipendi ina mambo ya ajabu ajabu mengi sana
  7. Scars

    JamiiForums Tanzania Hakuna muumini yeyote asiye muislamu ambaye anaweza kumchinja NGAMIA,huu ni uthibitisho tosha kwamba uislamu ndio dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu

    Utajuaje kupiga goti kwa ngamia baada ya lisaa limoja la kusimama, ni matokeo ya dua kufanya kazi, na sio lisaa limoja la miguu ya ngamia kuchoka kufuatia kusimama kwa muda mrefu na hivyo kupiga goti ni ishara ya kupumzika?
  8. Scars

    JamiiForums Tanzania Leo Man U wanawaonea Hawa Madogo wa Azerbaijan!

    Hakuna timu pale EPL ambayo haijapitia zahma kwa Man United.
  9. Scars

    JamiiForums Tanzania Alikubamiza miezi nane gerezani, leo mmekuwa marafiki wa kufa na kuzikana

    Politician hoe
  10. Scars

    JamiiForums Tanzania FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Barcelona kwenye hatua ya makundi Barcelona kwenye hatua ya robo fainali na nusu fainali
  11. Scars

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Marques ni big fan wa Android ila huwezi kumkuta akizikanyagia iPhone kwenye review. Mrwhotheboss hajawahi kusema kitu fulani kizuri bila kusema execption. Utasikia "this features is good but" Ndio maana alinyimwa mwaliko na Google
  12. Scars

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Mr whotheboss kwenye review atakuwa ameipamba sio mchezo.
  13. Scars

    JamiiForums Tanzania FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Nimeangalia ile attacking line kule mbele kuna tisha. Raphinha ni katili sana kwenye goli, na hii inanipa taswira ya kuona msimu huu tena hamtakuwa na mpinzani kwenye Copa De Rey.
  14. Scars

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru Atoa Agizo Kesi ya Lissu Ikamilike Ndani ya Siku 14

    Kwenye hizo siku 14 ni pamoja na wale mashahidi 7 wa Lissu ambao mahakama ilitoa pendekezo kesi kuendelea kwanza ili baadaye ije itoe hitimisho?
  15. Scars

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Gentlemen niliiona kwenye trending panel katika site ya flickystream.ru
Back
Top Bottom