Recent content by Scars

  1. Scars

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa sept 9.

    Mambo ya kuuziwa godoro halafu unanyimwa usingizi.
  2. Scars

    JamiiForums Tanzania TTCL FIBE wanachukua mda gani mpaka kuja kufunga?

    TTCL ni matapeli.
  3. Scars

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Hao Waislamu wachache, hawaikubali Chadema kwasababu ya udini. Je kwa tafiti zako wanamkubali Samia na wanampenda kwasababu ni mwenzao katika imani? Kwasababu huhitaji data kujua kuwa Chadema ndio Chama ambacho kinapendwa na chenye ushawishi hapa Tanzania tena kwa ratio kubwa kama ni asilimia...
  4. Scars

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Mbona humu ndani kuna waislamu wengi wanaikubali Chadema na kuna wakristo wengi wanaipenda CCM?
  5. Scars

    JamiiForums Tanzania Update kesi ya Lisu Naona Leo wamefungua box la Pandora la tarehe Ile mbaya kuliko zote tangu tupate uhuru Bora tufanye maridhiano

    Box la pandora??? Nimecheka Utakuwa developer au mtu waku crack simu
  6. Scars

    JamiiForums Tanzania WENYE KUFAHAMU KIINGEREZA MTUSAIDIE HAPA. Hili somo muhimu sana.

    Ndio maana mi nasema imani ni upofu, kitu chochote kinachoanza na msingi wa imani kama ndio njia basi huo ni utapeli. Imani ni dhana inayotumika ku-cover ukweli kwa kuzuia watu kufikiri. Mtu yeyote akiwa na fikra huru hawezi kuamini hizi hekaya za dini na vitabu vyake.
  7. Scars

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Utakuwa una matatizo ya akili Hakuna kocha ambaye hakubaliani kuwa Messi ni mchezaji bora, hata mimi nakubali kuwa Messi ni mchezaji bora. Mourinho kumpa hizo sifa Messi ni kumpa recognition pale anapoona anastahili. Mimi nazungumzia kuhusu favouritism ambazo Messi amekuwa akinufaika nazo...
  8. Scars

    JamiiForums Tanzania WENYE KUFAHAMU KIINGEREZA MTUSAIDIE HAPA. Hili somo muhimu sana.

    Biblia ni kitabu kilichoandikwa kwa kufuata mfumo wa hearsay na ndio maana kuna inconsistencies nyingi.
  9. Scars

    JamiiForums Tanzania Ronaldo na Georgina wafunga Ndoa rasmi baada ya miaka 10 kuwa pamoja

    Fabrizio ameripoti. Japo siku hizi amekuwa akitoa boko ila itakuwa na ukweli.
  10. Scars

    JamiiForums Tanzania 𝗔𝗣𝗣𝗟𝗘 𝗞𝗨𝗧𝗛𝗜𝗕𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗣𝗜𝗖𝗛𝗔 𝗬𝗔𝗞𝗢 𝗜𝗠𝗘𝗣𝗜𝗚𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗜𝗣𝗛𝗢𝗡𝗘 𝗔𝗨 𝗔𝗜 😀😀

    Na watumiaji wengi wa Apple wanakuwa wanatumia kwa kufuata mkumbo. Sio watu walioamua kutumia huku wakijua undani wa hizo devices.
  11. Scars

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa sept 9.

    Makadirio ya gharama yametajwa kuwa ni shingapi?
  12. Scars

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa sept 9.

    iPhone user ni wakuonewa huruma kabisa kiukweli sioni kama wanatendewa haki na kampuni lao ukilinganisha na pesa wanayolipia hizo bidhaa. Imagine juzi hapo Apple wameachia iOS 27 na moja ya feature waliyosema ni mpya ni hii. "iOS 27 imekuja na features mpya ya volume control kuifanya simu iwe...
  13. Scars

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    Huyu naye ni muongo muongo sana si wakumuamini. Tetesi zote zinataja kuwa kima cha juu walichokuja Y.....anyway hayanihusu
  14. Scars

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Bahati sio Mungu
Back
Top Bottom