Malezi mengi nowadays hayajikiti kutengeneza mke bora, bali mshindani dhidi ya mwaume.
Wazazi wengi wa sasa huwalea mabinti zao kwa misingi ya kumfanya binti amuone mwaume kuwa ni adui yake.
Atapewa elimu nzuri kwa lengo la kuwa na power ambayo mwanaume hawezi kumsumbua.
Atafundishwa kuwa...
Usifanye vitu kwa shinikizo hapa ndio wengi mnafeli.
Ndoa ni kwa ajili yako wewe, mke wako na future kids na sio kwa ajili ya wazazi wako.
Ukifanya maamuzi mabovu sahihi kwa lengo la kukata kiu ya mzazi, kumbuka huko mbeleni utakuwa wewe peke yako ukihangaika ku fix matatizo ambayo mwanzoni...
Zamani ilionekana ni illegal, au kazi yenye aibu ambayo watu huifanya kwa vificho.
Saizi kila post ya celebrity IG inamaliziwa kwa "gusa bayo hapo kuna link ya mikeka"
Anasema hataki 50/50 lakini ukisoma maelezo yake unaona 5/95
Na hiyo 5% anayo offer ni sex tu na usikute ikawa ya masimango yenye ratiba ngumu kama fixture ya EPL
Namimi baada ya City kutoa sare na Bournemouth nikaamua kuchukua likizo fupi hapa jukwaani maana huku mtaani nako nilikuwa napitia magumu kwa hiyo sikujua ni wapi nitakuwa safe dhidi ya harassments zenu.
Mpaka pale nilipoona ku stream series ndio njia pekee ya ku avoid hayo yote.
Ndio naianza hapa episode 1
Ila sijajua kwanini wameiweka kama season 1 na sio SEason 2 halafu wameibadilisha jina kutoka Berlin kuwa Berlin and the lady with ermine
Season 1 kuna character mmoja tu ambaye alicheza kwenye Money Heist ambaye ni Berlin tu.
Characters wengine wote ni wapya.
Umeisahau kabisa hii series tuliiweka mjadala sana hapa jamvini mwaka juzi?
Kunbuka basi hata ile scene ya Berlin na crew yake walipanga hoteli ambayo ipo mkabala na...
Berlin season 1 iliyotoka tarehe 29 mwaka 2023 uliicheki?
Sasa season 2 yake inaachiwa kesho
Na taarifa ni kwamba Professor naye atakuwepo.
Kesho ikiachiwa tu naanza nayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.