Recent content by Scars

  1. Scars

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti yako unamlea aje kuwa nani baadae?

    Malezi mengi nowadays hayajikiti kutengeneza mke bora, bali mshindani dhidi ya mwaume. Wazazi wengi wa sasa huwalea mabinti zao kwa misingi ya kumfanya binti amuone mwaume kuwa ni adui yake. Atapewa elimu nzuri kwa lengo la kuwa na power ambayo mwanaume hawezi kumsumbua. Atafundishwa kuwa...
  2. Scars

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana wa kiume, yaangalie mahusiano kwa mtazamo wa kibiashara

    Usifanye vitu kwa shinikizo hapa ndio wengi mnafeli. Ndoa ni kwa ajili yako wewe, mke wako na future kids na sio kwa ajili ya wazazi wako. Ukifanya maamuzi mabovu sahihi kwa lengo la kukata kiu ya mzazi, kumbuka huko mbeleni utakuwa wewe peke yako ukihangaika ku fix matatizo ambayo mwanzoni...
  3. Scars

    JamiiForums Tanzania Experience yangu kuhusu betting (Ukamaria)

    Zamani ilionekana ni illegal, au kazi yenye aibu ambayo watu huifanya kwa vificho. Saizi kila post ya celebrity IG inamaliziwa kwa "gusa bayo hapo kuna link ya mikeka"
  4. Scars

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya 50/50 binafsi mnitoe siyatakiiii

    Anasema hataki 50/50 lakini ukisoma maelezo yake unaona 5/95 Na hiyo 5% anayo offer ni sex tu na usikute ikawa ya masimango yenye ratiba ngumu kama fixture ya EPL
  5. Scars

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya 50/50 binafsi mnitoe siyatakiiii

    I still don't get you. Watchu mean?
  6. Scars

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya 50/50 binafsi mnitoe siyatakiiii

    Namimi baada ya City kutoa sare na Bournemouth nikaamua kuchukua likizo fupi hapa jukwaani maana huku mtaani nako nilikuwa napitia magumu kwa hiyo sikujua ni wapi nitakuwa safe dhidi ya harassments zenu. Mpaka pale nilipoona ku stream series ndio njia pekee ya ku avoid hayo yote.
  7. Scars

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya 50/50 binafsi mnitoe siyatakiiii

    Replies zako niliziona na nikachagua kuzi ignore kwasababu ya kile ulichokitangaza kutojihusisha na mipira
  8. Scars

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya 50/50 binafsi mnitoe siyatakiiii

    Remember to teach your sons to avoid expensive poor girls at all cost
  9. Scars

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

  10. Scars

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Ndio naianza hapa episode 1 Ila sijajua kwanini wameiweka kama season 1 na sio SEason 2 halafu wameibadilisha jina kutoka Berlin kuwa Berlin and the lady with ermine
  11. Scars

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Season 1 kuna character mmoja tu ambaye alicheza kwenye Money Heist ambaye ni Berlin tu. Characters wengine wote ni wapya. Umeisahau kabisa hii series tuliiweka mjadala sana hapa jamvini mwaka juzi? Kunbuka basi hata ile scene ya Berlin na crew yake walipanga hoteli ambayo ipo mkabala na...
  12. Scars

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Berlin season 1 iliyotoka tarehe 29 mwaka 2023 uliicheki? Sasa season 2 yake inaachiwa kesho Na taarifa ni kwamba Professor naye atakuwepo. Kesho ikiachiwa tu naanza nayo.
  13. Scars

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

  14. Scars

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Wakati nasubiria kesho kutwa ifike nimeamua nianze na hii ambayo nimeona mmeipa rate za kutosha, hapa ni baada ya kumalizia Memory of a killer
  15. Scars

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hii niliiangalia sema imeka ki comedy Hususani ile scene ya kichwa cha nguruwe kiliposema neno shit baada ya kuona demu anakuja na panga
Back
Top Bottom