Recent content by Scars

  1. Scars

    JamiiForums Tanzania WENYE KUFAHAMU KIINGEREZA MTUSAIDIE HAPA. Hili somo muhimu sana.

    Biblia ni kitabu kilichoandikwa kwa kufuata mfumo wa hearsay na ndio maana kuna inconsistencies nyingi.
  2. Scars

    JamiiForums Tanzania Ronaldo na Georgina wafunga Ndoa rasmi baada ya miaka 10 kuwa pamoja

    Fabrizio ameripoti. Japo siku hizi amekuwa akitoa boko ila itakuwa na ukweli.
  3. Scars

    JamiiForums Tanzania 𝗔𝗣𝗣𝗟𝗘 𝗞𝗨𝗧𝗛𝗜𝗕𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗣𝗜𝗖𝗛𝗔 𝗬𝗔𝗞𝗢 𝗜𝗠𝗘𝗣𝗜𝗚𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗜𝗣𝗛𝗢𝗡𝗘 𝗔𝗨 𝗔𝗜 😀😀

    Na watumiaji wengi wa Apple wanakuwa wanatumia kwa kufuata mkumbo. Sio watu walioamua kutumia huku wakijua undani wa hizo devices.
  4. Scars

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa sept 9.

    Makadirio ya gharama yametajwa kuwa ni shingapi?
  5. Scars

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa sept 9.

    iPhone user ni wakuonewa huruma kabisa kiukweli sioni kama wanatendewa haki na kampuni lao ukilinganisha na pesa wanayolipia hizo bidhaa. Imagine juzi hapo Apple wameachia iOS 27 na moja ya feature waliyosema ni mpya ni hii. "iOS 27 imekuja na features mpya ya volume control kuifanya simu iwe...
  6. Scars

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    Huyu naye ni muongo muongo sana si wakumuamini. Tetesi zote zinataja kuwa kima cha juu walichokuja Y.....anyway hayanihusu
  7. Scars

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Bahati sio Mungu
  8. Scars

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Mwaka mzima uliokuwa naye umeshindwa ku-observe attitude yake kujua ni timing gani nzuri ya kumwambia na uende na approach ipi? Kwasababu kivyovyote vile hata ukisema watu wakushauri, bado wewe ndio unakuwa kwenye nafasi nzuri ya kufanya kilicho bora zaidi kwasababu ni mtu ambaye umemjua kwa miaka.
  9. Scars

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Mwambie kama ulivyo tuambia sisi
  10. Scars

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Mpeleke kwa dentist akafanyiwe check up.
  11. Scars

    JamiiForums Tanzania Ego play katika mahusiano

    Bepari la Kihaya
  12. Scars

    JamiiForums Tanzania Zari; kuchepuka kwa mwanaume asiyekuhudumia sio usaliti ni kujihami

    50/50
Back
Top Bottom