Hao Waislamu wachache, hawaikubali Chadema kwasababu ya udini. Je kwa tafiti zako wanamkubali Samia na wanampenda kwasababu ni mwenzao katika imani?
Kwasababu huhitaji data kujua kuwa Chadema ndio Chama ambacho kinapendwa na chenye ushawishi hapa Tanzania tena kwa ratio kubwa kama ni asilimia...
Ndio maana mi nasema imani ni upofu, kitu chochote kinachoanza na msingi wa imani kama ndio njia basi huo ni utapeli.
Imani ni dhana inayotumika ku-cover ukweli kwa kuzuia watu kufikiri.
Mtu yeyote akiwa na fikra huru hawezi kuamini hizi hekaya za dini na vitabu vyake.
Utakuwa una matatizo ya akili
Hakuna kocha ambaye hakubaliani kuwa Messi ni mchezaji bora, hata mimi nakubali kuwa Messi ni mchezaji bora.
Mourinho kumpa hizo sifa Messi ni kumpa recognition pale anapoona anastahili.
Mimi nazungumzia kuhusu favouritism ambazo Messi amekuwa akinufaika nazo...
iPhone user ni wakuonewa huruma kabisa kiukweli sioni kama wanatendewa haki na kampuni lao ukilinganisha na pesa wanayolipia hizo bidhaa.
Imagine juzi hapo Apple wameachia iOS 27 na moja ya feature waliyosema ni mpya ni hii.
"iOS 27 imekuja na features mpya ya volume control kuifanya simu iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.