iPhone user ni wakuonewa huruma kabisa kiukweli sioni kama wanatendewa haki na kampuni lao ukilinganisha na pesa wanayolipia hizo bidhaa.
Imagine juzi hapo Apple wameachia iOS 27 na moja ya feature waliyosema ni mpya ni hii.
"iOS 27 imekuja na features mpya ya volume control kuifanya simu iwe...
Mwaka mzima uliokuwa naye umeshindwa ku-observe attitude yake kujua ni timing gani nzuri ya kumwambia na uende na approach ipi?
Kwasababu kivyovyote vile hata ukisema watu wakushauri, bado wewe ndio unakuwa kwenye nafasi nzuri ya kufanya kilicho bora zaidi kwasababu ni mtu ambaye umemjua kwa miaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.