Tunamlilia kwa sababu,pamoja na mabaya yake,lakini alikuwa na mema pia aliyotufanyia watanzania. Kwa mara ya kwanza Taifa la Tanzania tunapitia kwenye kipindi cha kufiwa na Rais akiwa madarakani, tuombe MUNGU Atuvushe.
Pesa zikiingia hazitoki, tatizo kuna mtu anadharau huu ugonjwa ilhali yeye kaikimbia Dar, inasikitisha sanaa mtu anapocheza na maisha ya raia anaowaongoza
Kwa sababu ya kukosekana PPE hivi leo kuna zaidi ya madaktari 100 wapo wodini na nurses wengi, kwa sababu ya kujitolea kusaidia watanzania wenzao, kwa nini wasiwakimbie wagonjwa!!
Tanzania tunasikitisha kwa kweli, misaada ya pesa inachangwa inaingia tu serikalini, kutoa pesa zinunuliwe vifaa...
Kufunga kanisa ni sawa na kupiga goti kwa shetani mleta Covid 19, kuwa ameshinda, hayo yanayofungwa ni majengo ya kidini, kanisa la Kristo litaendelea kukusanyika sawa na agizo la Mungu katika Waebrania
Nchi zilizoendelea wafanyabiashara ndio wanaofanya mabenki kusrvive, ndio maana hata hapa kwetu, ni kawaida kwa mfanyabiashara kukopa kisha kuzalisha na kurejesha benki.
Lakini kwa makusudi serikali ya Tanzania mmeamua kuwaua wawekezaji kibiashara, halafu mnategemea watalipaje mikopo ya benki...
Wataalam samahani naomba kujuzwa ikiwa kuna mtu anafahamu, kama kuna chuo Dsm kinafundisha watafsiri wa lugha ya kiingereza kwa kiswahili au kiswahili kwa kiingereza ( Interpreters)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.