Recent content by save22

  1. S

    JamiiForums Tanzania Beatrice Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake kwamba ana fedha nyingi lakini hamsaidii mama yake

    Sikiliza vizuri ile video ndio utoe maoni inaonesha hajasikiliza Beatrice hajaongelea kuhusu kusaidiwa yeye Bali anamkumbusha dada Ake kuhusu mama yao,lkn pia kaongea kuwa huyo mtoto Joan sio mtoto wake Wala sio ndugu yao,sasa mzee wewe umesikiliza clip ipi?mpaka utoe ushauri huo?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Beatrice Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake kwamba ana fedha nyingi lakini hamsaidii mama yake

    Nimejaribu kusoma comments za watu wengi lkn nilichogundua wengi waliocomment hajasikiliza vizuri hizo video,Wacha na Mimi nitoe maoni yangu ukiacha Mungu mumba bingu na ardhi Mungu wanaofuata ni wazazi wako sio dada,sio kaka,sio nani Bali ni wazazi wako kwa namna yoyote ile ili uzidi kubarikiwa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Wageni na Watanzania wenye asili za Asia wote wana Vitambulisho vya NIDA

    Hapo kwenye kupita Kila ngazi ya utendaji sidhani kama ni kweli maana watu kibao ambao sio raia wa Tanzania wanavitambulisho vya NIDA
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Antena ipo?wengi ambao hawana antena huwa hawana/hisia zao huwa mbali sana na wanaloose confidence
  5. S

    JamiiForums Tanzania Maadili Ligi Kuu

    Huu ni upuuzi ambao wachezaji wageni wanauleta. Jana nimeangalia huyu jamaa akicheza kwenye timu yake ya Taifa alivaa proper tu lkn kwenye ligi yetu anavaa kisela kama karukwa na akili.
  6. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mpenzi wangu ni mkavu sana na hataki nimchezee kwa vidole

    Huyo itakuwa katolewa antenna(kaket***),wengi wao hawajiamini na wanaudhi sana hakuna raha kabisa labda umpate ambae kakubaliana na hali yake huyo ndio anajiachia,binafsi nimewahi kuwa na demu kama huyo
  7. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kipimo cha DNA ni 100000(laki moja tu)
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke/msichana muongeaji sana na mkimya na mpole yupi anafaa kwa ndoa?

    Wongeaji wengi wanajifanya much know kila kitu wanakijua,kuna manzi wangu mmoja hivi yaani yeye hakuna kitu hakijui yaani anaboa sana bora mkimya
  9. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kamwe Usimuamini Mwanamke

    Bank au Wakala wa Bank(wanaosimamia miiko ya kazi zao) huwezi toa hela kama sio mmilika wa account husika labda usema alienda kutoa kupitia ATM hiyo ndio inawezekana
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbinu ya Maisha kwa vijana: Kataa Mwanamke Masikini

    Facts,na kwa kuongezea kataa mwanamke mwenye roho ya kimasikini hii ni mbaya sana maana inajumuisha,ubinafsi,uchawi,uroho,umalaya,yaani kila baya unalolijua liko kwenye roho ya umaskini
  11. S

    JamiiForums Tanzania TECNO wamejitafuta wamejipata kwa hili sio poa

    Ila nini?
  12. S

    JamiiForums Tanzania TECNO wamejitafuta wamejipata kwa hili sio poa

    Mimi natumia simu kulingana na mahitaji yangu sio kwa sababu ya jina la kampuni siko brand royalty,mimi naangalia nahitaji nini kwenye simu sio jina la kampuni. Kuna watu wanaziponda Tecno au Itel tena kwa kejeli eti Tecno inawezajituma sms hata ikiwa locked hizi si jokes sasa?Kingine mimi...
  13. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sijakuelewa mkuu
  14. S

    JamiiForums Tanzania TECNO wamejitafuta wamejipata kwa hili sio poa

    Mimi natumia samsung
  15. S

    JamiiForums Tanzania TECNO wamejitafuta wamejipata kwa hili sio poa

    Watu wengi esp waafrika sisi ni watumwa sana wa kifikra,watu wengi wanaocomment hapa kuiponda Tecno au infinix wengi wao utakuta wanatumia used iphone au samsung saiv kuna hizi google pixel hawa watu wanaotumia hizi simu zilizotumika mimi nasema mtumba,wanajiona wamemaliza kila kitu,kitu ambacho...
Back
Top Bottom