Recent content by sashah a

  1. sashah a

    Mke wangu anajifungua, mtoto nimpe jina gani?

    Geoffrey Humphrey Isaac
  2. sashah a

    Njia ya kushinda mauti

    Kuna watoto wanazaliwa hawalii, unazungumziaje na hao?
  3. sashah a

    Mke wangu ni mjamzito wa miezi 10 hivi sasa

    Kwa uelewa wangu, mapacha hawawezi fika miezi 10 huwa wanazaliwa mapema, pia mngeenda hata hospital nyingine mcheck ultrasound kuliko kukaa hapo kusubiri
  4. sashah a

    Nifanyeje kuhusu huyu mwanaume

    Pole sana, jaribu ku move on na maisha yako atakupotezea mda
  5. sashah a

    Msaada: Shule nzuri ya sekondari-Arusha na Kilimanjaro

    Sio kweli mbona kuna zingine wanasoma hadi waislamu na dini zingine pia, cha msingi ni kufuata masharti yaliyowekwa mf Huruma girls seminary ipo jimbo kuu katoliki dodoma
  6. sashah a

    Uchebe kaolewa na Shilole?

    Wapenda mteremkoo
  7. sashah a

    Muda sahihi wa kujua jinsia ya mtoto

    Miezi mitano ndo inaonekana ktk kipimo. (Ultrasound)
Back
Top Bottom