Mke wangu ni mjamzito wa miezi 10 hivi sasa

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,536
4,513
Mke wangu ni mjamzito wa miezi 10 hivi sasaa...Yaani amepita tarehe yake ya makadirio jana tarehe 29.

Cha ajabu ni yeye kutohisi chochote.Ni juzi tar 27 kama sikosei ndio alianza kutokwa na maji maji meupe ukeni...Kidogo kidogo yakawa yanazidi.Nikamkimbiza hospital. Wakapima njia.Wakaona bado haijafunguka.

Wakamwambia afanye fanye mazoezi...Lakini wapi mpaka leo yupo bado hospital...Maji yanaendelea kutoka..Hakuna chochote kinachomuuma zaidi ya kichwa mara moja moja kinaacha.

Hasikii kichomi wala tumbo kukata wala mgongo wala kiuno...Ni ukeni tu ndio panavuta na maumivu kidogo ...

Ndio amesema yaani panavovuta ukeni ndio kunauma.

Na chooni ndio anaenda mara kwa mara kukojoa.

Manesi walivyopita jana wakampima pima kwa kugusa tumbo lake wakawa wamegusa vitu kama n vichwa viwili pembeni wakadhani ni mapacha...Lakini doctor akaja akagusa vizuri akawaambia sio mapacha mmegusa mbavu labda...Kichwa kipo chini mbona tayari...Bado kutoka tu.

Na mtoto bado mapigo yake ya moyo yanapiga kawaida tu na anacheza kawaida tu sanaaa.

Tatizo langu ni hilo mke wangu haeleweki...Maana yupo sawa tu...Hakuna mengine yanamsumbua kama mjamzito zaidi ya hizo dalili nilizozieleza hapo juu.

Naombeni utaalam wenu ndugu zangu kama kuna madaktar na wataalam wa haya mambo wanitulize akili yangu kwa kunipa nini cha kufanya.

Maana nasikia sijui kuna wanawake wengine wana nyonga ya kiume...Haziwezi zaa kawaida...Sijui wengine nyonga ya mnyama sijui nijuzini nitulize nafsi yangu.

Maana anazidi kukaa hospital tu na mnavyojua hospital chakula ni cha kununua na wanauza gharama utasema kule ni sehemu ya starehe.

Yaani mtu chai ya rangi anauza kikombe 500 kweli na half cake 500 ni upumbavu sana kuruhusu biashara kama hizi mahospital ni dhulma na unyonyaji mkubwa sanaa..
 
Swali.Dokta anakwambia mtoto Ni MMOJA huyo mkeo hakupima ULTRASOUND? Kuonesha idadi ya watoto waliopo tumboni?

Hayo maji ndo huitwa kuvunja chupa hiyo hutoka masaa au siku kadhaaa kabla ya kujifungua

I wapo mapigo ya mama na mtoto hayana tatizo kwanini uwe na hofu?

VUTA SUBIRA. ENDELEA KUMSIKILIZA DAKTARI mkuu
 
Pole sana bro, ila ndo hali halisi ya Tanzania kwenye shida watu huchukua advantage yakibiashara zaidi
 
Mjamzito kutoka discharge ni hali hatarishi manake anaweza kupata infection. Nenda kwa daktari mwingine wa wanawake umuelezee hiyo hali na umpelekee ultrasound ya hivi karibuni.

Huenda akahitaji operation. Sikiliza daktari na ufuate ushauri.

Kila la kheri.
 
Pregnant women have long been told that when their water breaks, they should be ready to deliver the baby within 24 hours to avoid infection. But a small new study suggests labor may not always need to be induced.

Swali.Dokta anakwambia mtoto Ni MMOJA huyo mkeo hakupima ULTRASOUND? Kuonesha idadi ya watoto waliopo tumboni?

Hayo maji ndo huitwa kuvunja chupa hiyo hutoka masaa au siku kadhaaa kabla ya kujifungua

I wapo mapigo ya mama na mtoto hayana tatizo kwanini uwe na hofu?

VUTA SUBIRA. ENDELEA KUMSIKILIZA DAKTARI mkuu
 
Swali.Dokta anakwambia mtoto Ni MMOJA huyo mkeo hakupima ULTRASOUND? Kuonesha idadi ya watoto waliopo tumboni?

Hayo maji ndo huitwa kuvunja chupa hiyo hutoka masaa au siku kadhaaa kabla ya kujifungua

I wapo mapigo ya mama na mtoto hayana tatizo kwanini uwe na hofu?

VUTA SUBIRA. ENDELEA KUMSIKILIZA DAKTARI mkuu
Wanasema hivi...maji ambayo yamaanisha chupa kuvunjika ni ya brown...lakini ya mke wangu yanatoka kidogo kidogo yanakata yakiwa ni meupe...

Ndio tumeambiwa tusubiri mpaka kesho au keshokutwa tufanye Ultra sound...ndio what to do next...
 
Pole sana bro, ila ndo hali halisi ya Tanzania kwenye shida watu huchukua advantage yakibiashara zaidi
Nachojiuliza hivi serikali hii kupitia wizara ya afya na ustawi wa jamii...hawaoni huu utumbo...kwanini wasiuze kwa bei ya kawaida tu...wanavyodhani watu wamefuata starehe pale...?

Au ndio tanzania ya viwanda utumbo...
 
Kwahiyo hata yakiwa ni maji maji meupe ni discharge...maana wanasemaga ni brown...

Alafu vipi kuvuta kwa uke na maumivu...kuna lolote..?
Mjamzito kutoka discharge ni hali hatarishi manake anaweza kupata infection. Nenda kwa daktari mwingine wa wanawake umuelezee hiyo hali na umpelekee ultrasound ya hivi karibuni.

Huenda akahitaji operation. Sikiliza daktari na ufuate ushauri.

Kila la kheri.
 
Mjamzito kutoka discharge ni hali hatarishi manake anaweza kupata infection. Nenda kwa daktari mwingine wa wanawake umuelezee hiyo hali na umpelekee ultrasound ya hivi karibuni.

Huenda akahitaji operation. Sikiliza daktari na ufuate ushauri.

Kila la kheri.
Ndio docto alisema tusubiri siku mbili zijazo...kama bado hakuna kitu aende akafanye ultra sound to know what to do...
 
Wanasema hivi...maji ambayo yamaanisha chupa kuvunjika ni ya brown...lakini ya mke wangu yanatoka kidogo kidogo yanakata yakiwa ni meupe...

Ndio tumeambiwa tusubiri mpaka kesho au keshokutwa tufanye Ultra sound...ndio what to do next...
Mmmh kwanini wasifanye ultrasound leo?lakini hakupima ultrasound kipinfi Cha kwenfa klinik? Na kwanini
 
Mke wangu ni mjamzito wa miezi 10 hivi sasaa...yaani amepita tarehe yake ya makadirio jana tarehe 29...

CHA AJABU NI YEYE KUTOHISI CHOCHOTE...NI JUZI TAR 27 KAMA SIKOSEI NDIO ALIANZA KUTOKWA NA MAJI MAJI MEUPE UKENI...KIDOGO KIDOGO YAKAWA YANAZIDI...NIKAMKIMBIZA HOSPITAL...WAKAPIMA NJIA...WAKAONA BADO HAIJAFUNGUKA...

Wakamwambia afanye fanye mazoezi...lakini wapi mpaka leo yupo bado hospital...maji yanaendelea kutoka..hakuna chochote kinachomuuma zaidi ya KICHWA MARA MOJA MOJA KINAACHA...

HASIKII KICHOMI WALA TUMBO KUKATA WALA MGONGO WALA KIUNO...NI UKENI TU NDIO PANAVUTA NA MAUMIVU KIDOGO ...

NDIO AMESEMA YAANI PANAVOVUTA UKENI NDIO KUNAUMA...

Na chooni ndio anaenda mara kwa mara kukojoa...

MANESI WALIVYOPITA JANA WAKAMPIMA PIMA KWA KUGUSA TUMBO LAKE...WAKAWA WAMEGUSA VITU KAMA N VICHWA VIWILI PEMBENI WAKADHANI NI MAPACHA...LAKINI DOCTOR AKAJA AKAGUSA VIZURI AKAWAAMBIA SIO MAPACHA MMEGUSA MBAVU LABDA...KICHWA KIPO CHINI MBONA TAYARI...BADO KUTOKA TU...

Na mtoto bado mapigo yake ya moyo yanapiga kawaida tu...na anacheza kawaida tu sanaaa...

TATIZO LANGU NI HILO MKE WANGU HAELEWEKI...MAANA YUPO SAWA TU...HAKUNA MENGINE YANAMSUMBUA KAMA MJAMZITO ZAIDI YA HIZO DALILI NILIZOZIELEZA HAPO JUU...

NAOMBENI UTAALAM WENU NDUGU ZANGU KAMA KUNA MADAKTAR NA WATAALAM WA HAYA MAMBO WANITULIZE AKILI YANGU KWA KUNIPA NINI CHA KUFANYA...

Maana nasikia sijui kuna wanawake wengine wana nyonga ya kiume...haziwezi zaa kawaida...sijui wengine nyonga ya mnyama sijui...nijuzini nitulize nafsi yangu...

MAANA ANAZIDI KUKAA HOSPITAL TU...NA MNAVYOJUA HOSPITAL CHAKULA NI CHA KUNUNUA NA WANAUZA GHARAMA UTASEMA KULE NI SEHEMU YA STAREHE...

YAANI MTU CHAI YA RANGI ANAUZA KIKOMBE 500 KWELI NA HALF CAKE 500...NI UPUMBAVU SANA KURUHUSU BIASHARA KAMA HIZI MAHOSPITAL...NI DHULMA NA UNYONYAJI MKUBWA SANAA...
Kwa uelewa wangu, mapacha hawawezi fika miezi 10 huwa wanazaliwa mapema, pia mngeenda hata hospital nyingine mcheck ultrasound kuliko kukaa hapo kusubiri
 
Kwa uelewa wangu, mapacha hawawezi fika miezi 10 huwa wanazaliwa mapema, pia mngeenda hata hospital nyingine mcheck ultrasound kuliko kukaa hapo kusubiri
Sahihi kabisaa mkuu lakini pia inategemea wapo wapi huwenda kijijin au mbali na hospitali nyingine na ni hatari mno asipofuata ushauri wa Daktari wa hapo walipo
 
Huwekwa baada ya kujua mtoto yukoje Sasa Kama hawajui ndo shida inapokuja
Hata hivyo mleta uzi anaonekana wakati mwingine sio mkweli, nje ya mambo ya kusema mkewe ana mimba lakini pia ana historia ya kuweka thread ambazo zinafikirisha kiasi kwamba nahisi hata huu uzi tunaochangia labda ni "chai" hebu ona thread zake hizi ambazo anajiongelea yeye mwenyewe: Hiyo ya kwanza anasema anasoma LLB mzumbe, ya pili ni nesi ya tatu Bcomm

Nataka nifanye transfer ya chuo 2nd yr.

Natafuta chuo cha kuhamia kwa diploma ya in nursing

Bcomm. Tourism and Hospitality UDSM
 
Hata hivyo mleta uzi anaonekana wakati mwingine sio mkweli, nje ya mambo ya kusema mkewe ana mimba lakini pia ana historia ya kuweka thread ambazo zinafikirisha kiasi kwamba nahisi hata huu uzi tunaochangia labda ni "chai" hebu ona thread zake hizi ambazo anajiongelea yeye mwenyewe: Hiyo ya kwanza anasema anasoma LLB mzumbe, ya pili ni nesi ya tatu Bcomm

Nataka nifanye transfer ya chuo 2nd yr.

Natafuta chuo cha kuhamia kwa diploma ya in nursing

Bcomm. Tourism and Hospitality UDSM
Kweli mkuu nahisi mleta mada si mkweli
 
Mmmh kwanini wasifanye ultrasound leo?lakini hakupima ultrasound kipinfi Cha kwenfa klinik? Na kwanini
Tulishauriwa na waliokuwa wanamhudumia clinic kuwa sio ya muhimu...wenyewe walivyomcheck wanamuona yupo sawa tu...
Na walituambia tusiendekeze ultra sound...ni mionzi ile..
 
Basi kesho nitabidi niongee na doctor atakayepita pale kama kutakuwa na uwezekano wa kufanya ultra sound...ili hatua zichukuliwe mapema..
Kwa uelewa wangu, mapacha hawawezi fika miezi 10 huwa wanazaliwa mapema, pia mngeenda hata hospital nyingine mcheck ultrasound kuliko kukaa hapo kusubiri
 
Kama ni mazoezi mke wangu anapiga sanaa...
Kwa uelewa wangu, mapacha hawawezi fika miezi 10 huwa wanazaliwa mapema, pia mngeenda hata hospital nyingine mcheck ultrasound kuliko kukaa hapo kusubiri
 
Back
Top Bottom