Recent content by sash

  1. sash

    Car4Sale Vitz Nzuri sana

    bado ipo?
  2. sash

    Kwa mnaohitaji kununua magari - tukutane hapa

    itachukua muda gani kupata gari ninalohitaji?
  3. sash

    Nanua mahindi grade A

    kama una uwezo wakukusanya kuanzia tani100 hii ni fursa yako yakujikwamua kwenye dimbwi la umaskini. Popote Ulipo Tanzania Nakuja kuchukua mzigo. Kwa sasa nanunua 400000/ton
  4. sash

    Mahindi yanauzwa; Yapo Songea ni zaidi ya gunia 5000

    mbona huzifanyii kazi pm? nmekucheck jana mpaka leo kimya
  5. sash

    Nahitaji Toyota crown

    Toyota crown kuanzia model ya 2008 na kuendelea. mileage isiwe zaidi ya 50000kms. bei tutazungumza .Kama Upo nayo ni pm
  6. sash

    Mpimaji viwanja anahitajika

    Nipatie namba yako tuzungumze
  7. sash

    Nimekuta mke wangu ana mimba ya mwingine

    miezi sita ni mingi sana .hili ni somo tujifunze tujitahidi hatakama ni huko kutafuta lakini usipite muda mrefu kabla hatujarud kwa wake zetu kuwatimizia haja zao
  8. sash

    Nimekuwa mtumwa wa wanawake

    hakuna kinachoshindikana ukisema bas kweli bas.tafuta muda kaa chini fumba macho jitafakari maisha yako kuanzia nyuma mpaka hapo ulipo,kisha fikiria kwa mfano mungu akinichukua nitakua na hali gani?ndugu yangu wanaume wote tunataman sana na hata wanawake wapi na hiyo ni tabia ya nafsi kutamani...
  9. sash

    Nisadieni ndoa yangu inavunjika

    jamani lazina kwanza tufahamu kua dini imeruhusu mke zaidi ya mmoja sio kwa sababu tu mmoja anamatatizo.bali hilo ni jambo lakimaumbile kutokana na asili ya maumbile ya mwanaume haridhiki na mmoja.sasa ili kuzuia uchepukaji ndio ukawekwa mlango huo kwa mtu muadilifu.kiukweli ndugu umekosea sana...
  10. sash

    Jinsi ya kuongoza ndoto za usiku utakavyo (Lucid Dreams)

    nishadownload ile beat.what next?
  11. sash

    Wale wa Tanga, pita humu uweke sign yako

    aah umenigusa mulemule,mi hua najumuika na wazee wa ngamiani pale majira ya jioni tukipasha misuli na alkasuus kwajili ya mechi za kiwanja cha fundi seremela.ama nikiona vipi naenda zangu pweza kijiweni hana raha kwa madeni.ama kwa hakika tanga rahaaaa!
  12. sash

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Inakatisha tamaa sana.eeh mungu nipe mke mwema.
  13. sash

    Tujuzane kuhusu wanawake wenye jinsia za kiume (shemale)

    hao viumbe wapo kwa lugha yetu wanafahamika kama khuntha.wanakua na jinsia mbili ila moja ndio inakua na nguvu
  14. sash

    Hivi kwanini wanawake ukiwaomba namba za simu upendo unapungua

    haha nipe na mimi hiyo halotel niwe nabip bip
  15. sash

    Fuata njia hizi, mwanamke hakukatai ng`oo hata awe vipi

    na nyie wana jf mumezidi kukosoa!zengine ni typing errors tu.mimi hapo namba mbili sikubaliani napo,si sahihi kusubiria wiki nzima ndio mtafute.unatakiwa umtafute ndani ya masaa48 kwa sababu km ambavyo amekupa namba anaweza kuwapa wengine na pengine akusahau.kuna force ya mvuto hupungua kadiri...
Back
Top Bottom