Recent content by sasambu

  1. S

    Serikali kukataza wenye nyumba kukusanya kodi ya miezi 6, yasema inaumiza wengi

    na NHC iwe nayo kwa kiwango hicho watakachowekewa wenye nyumba
  2. S

    Lukuvi: Rais Magufuli ameivunja Mamlaka ya Usimamizi wa Mji Mdogo wa Kigamboni (KDA)

    Tatizo maeneo mengi hayapangwa na ukitaka kugharamia kupanga mji eneo lako unatajiwa bei ya ajabu, na hata ukilipa hizo gharama mpaka kupitishwa mpango mji huo si chini ya miezi sita.
  3. S

    DAWASCO waanzisha huduma ya kuunganishiwa Maji kwa Mkopo kwa wenye uwezo Mdogo

    mbona kariakoo maeneo ya gerezani hatupati hayo maji ? tatizo nini?
  4. S

    Vikosi na makambi JKT

    buhemba JKT Musoma
  5. S

    Kigamboni: Wilaya mpya na tishio la usalama wa raia

    Kweli tupu serikali litupie macho kabla ya majanga
  6. S

    Namna ya kuangalia waliosoma text yako katika whatsapp groups

    sawa! mkuu kwa ufahamisho, ila sasa kwa samsung namba 4.badala ya ai/(i) inatokea option ya dots tatu zimebebana (:) bonyeza hiyo linakuja neno info bonyeza
  7. S

    Watu wachache sana Wanatumia Daraja la Kigamboni, Tozo na Barabara mbovu Vinachangia

    Pamoja na kuwepo kwa mpango wa flyover upande wa kigamboni lakini kwa sasa kipande hicho ni bora kikakarabatiwa kwani ni kibovu sana japo kikwanguliwe na kujazwa kifusi kwa muda huu tukisubiri hiyo flyover. Upande wa daladala haya ndio maumivu makubwa kwetu sisi walala hoi, kwani wenye mabasi...
  8. S

    Kilio mshahara wa mwezi June kwa watumishi wa Umma

    wengine mbona bado mpaka asubuhi hii????!!!!!!
  9. S

    Raia mwema halina mhariri?

    t Typing error haibadirisha maana ya sentensi nzima bali ni kwa neno au maneno lakini hizo makala zimebadilisha ukweli ulivyo
  10. S

    Historia ya Mitaa mbali mbali ya Jiji la Dar Es Salaam

    Lindi sio kweli kuwa ni mrefu Lindi unaanzia Ilala na unaishia mtaa wa Shaurimoyo na unaanza mtaa wa Sophia Kawawa na unaishia mtaa wa Msimbazi na unaanza tena Lindi unaishia Mnazimmoja Mtaa mrefu ni Uhuru unaanzia Buguruni Barabara ya Mandera hadi Mnazimmoja Barabara ya Nkrumah
  11. S

    Historia ya Mitaa mbali mbali ya Jiji la Dar Es Salaam

    Mtaa wa Swahili Huu mtaa upo Kariakoo Mtaa huu unaanzia Barabara ya Morogoro na unaishia Mtaa wa Nkrumah! na si kariakoo shimoni, Hakuna mtaa unaoanzia shimoni bali mtaa wa Nyamwezi unapitiliza hapo shimoni kutokea mtaa wa matumbi jangwani na kuishia mtaa wa Mbaruku Gerezani
  12. S

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    naona atakuwa Michael Katembo
  13. S

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    mahokaa!!!!! kuna mzee mmoja alikua anacheka sana mwanzo wa kipindi "we mama mbavu zangu ha! ha! haaaa!"
  14. S

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    1.Michezo na Abdul Omar Masoud na Juma Ngondae 2.Club Raha Leo show na Brother Enock Ngombare 3.Usiku wa Raha na Debora Mwenda/Halima Mchuka 4.Malimwengu 5.Mazungumzo baada ya habari na Salum Seif Mkamba 6.Majira na Mshindo Mkeyenge 7. From me to You (External service)
Back
Top Bottom