Recent content by saryia toly

  1. S

    Hakuna Maji Kinondoni kwa mwezi sasa

    Nikisema ni zaidi ya Mwezi sasa Kinondoni hatupati maji ya Dawasa unaweza usiamini. Hatujui kama ni mgawo, au ni tatizo gani. Hakuna taarifa yoyote. Mimi naishi Kambangwa, ni Mwananyamala japo wengi tumezoea kupaita Kinondoni. Mara ya mwisho maji ya bomba kutoka ni zaidi ya wiki 4 zilizopita...
  2. S

    Ufalme wa Inshallah

    UFALME WA INSHALLAH Huu ni ufalme wa mfano. Ufalme ambao unasifiwa kwamba unapigiwa mfano duniani kote. Ama kwa hakika, raia wa falme mbalimbali wanahusudu kuwa raia wa falme hii iliyosifika kwa miongo mingi kama falme yenye Amani, falme yenye demokrasia, falme yenye diplomaisia madhubuti...
  3. S

    Riba ya Mkopo

    Wasomi naomba kuelimishwa. Kisheria, hasa sheria ya fedha imekaaje? Je, kuna kiwango elekezi cha riba ambacho mkopeshaji anatakiwa asivuke? Na je, Kila mtu anaweza akaanzisha utaratibu wa kukopesha mtaani na kuwa na riba aliyoamua na mbele ya sheria akawa Yuko sahihi?
  4. S

    TAKUKURU, Polisi waja na muarobaini wa rushwa za barabarani wakishirikiana na wadau

    Rushwa is for everyone's convenience. Sheria ziwe clear na ziheshimiwe na polisi na watumiaji wa barabara pia Polisi waache kuwalazimishia madereva makosa
  5. S

    JamiiForums Vacancy: Transcriber (2)

    Unaweza dhani unaimudu ukiwa umesoma kozi nyingine, lakini Kuna muda ujuzi wa Mambo Fulani pengine utahitajika mfano taaluma maalumu Kama uandishi wa habari. Nafikiri Kuna sababu za kutaka kazi Fulani ifanywe na mtu mwenye taaluma fulani
Back
Top Bottom