saryia toly
Member
- May 29, 2014
- 6
- 0
Nikisema ni zaidi ya Mwezi sasa Kinondoni hatupati maji ya Dawasa unaweza usiamini. Hatujui kama ni mgawo, au ni tatizo gani. Hakuna taarifa yoyote.
Mimi naishi Kambangwa, ni Mwananyamala japo wengi tumezoea kupaita Kinondoni. Mara ya mwisho maji ya bomba kutoka ni zaidi ya wiki 4 zilizopita. Mvua zimenyesha sana, tunashangaa sababu ni nini?
Hakuna maji kwenye mabwawa? Mbona hizi shida tulizisahau kipindi cha nyuma.? Waziri wa maji analifahamu hili? Kama hapa mjini hali iko ivi vipi huko vijijini?
Tunaomba kujua ni nini tatizo?
Mimi naishi Kambangwa, ni Mwananyamala japo wengi tumezoea kupaita Kinondoni. Mara ya mwisho maji ya bomba kutoka ni zaidi ya wiki 4 zilizopita. Mvua zimenyesha sana, tunashangaa sababu ni nini?
Hakuna maji kwenye mabwawa? Mbona hizi shida tulizisahau kipindi cha nyuma.? Waziri wa maji analifahamu hili? Kama hapa mjini hali iko ivi vipi huko vijijini?
Tunaomba kujua ni nini tatizo?