Recent content by Sarcomere

  1. S

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Kipimo kinaitwa endoscopy (EGD/OGD) Gharama yake haipingui laki mbili na nusu Hakiumi, unapuliziwa spray ya ganzi mdomoni kabla ya kipimo Kinaingizwa kupitia mdomoni, kina mpira (tube) ina taa kwa ajili ya kuonyesha sehemu za ndani na kamera kwa ajili ya kuona na kuchukua picha na video za...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Tuunganishe na aliyekutibu mkuu, wahanga tupo wengi
  3. S

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Tuunganishe na aliyekutibu mkuu wahanga tupo wengi
  4. S

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani kinakupa furaha zaidi kwenye maisha yako..?

    Afya na pesa
  5. S

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Pwani sehemu gani? Gharama yake sh ngapi?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Angalizo Hakuna house girl/mwanafunzi mwenye matatizo ya uzazi
  7. S

    JamiiForums Tanzania Vidonda Vya tumbo: Tatizo linalozidi kuumiza jamii kimya kimya, njoo upate tiba hapa

    Nimeshatumia zaidi ya mara moja
  8. S

    JamiiForums Tanzania Vidonda Vya tumbo: Tatizo linalozidi kuumiza jamii kimya kimya, njoo upate tiba hapa

    Mimi imefikia wakati nakata tamaa ya kupona huu ugonjwa
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mishahara ya watumisi mwezi Juni kulipwa Julai 3

    Watumishi gani unawazungumzia? Watu wameshapokea pesa na zinakaribia kuisha
  10. S

    JamiiForums Tanzania Homa ya ini ni hatari kuliko ukimwi?

    Kuna wanyama wa kuitwa cancer na kidney failure hao ndo kiboko, Bora hepatitis ina chanjo
  11. S

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Kariakoo

    Ofisi ipo wapi
  12. S

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Kariakoo

    T Alitop, ailyons, nk. Namaanisha low end
  13. S

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Kariakoo

    LED TV 43" unajuaje?
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tayari makato yameshapita
Back
Top Bottom