Recent content by Sarcomere

  1. S

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Maisha ni mafupi mnoo, ukiwa chini ya miaka 20 huwa unaona una muda wa kutosha ila story hubadilika unapofika 30+ ndio unaona kumbe miaka inakimbia na huna mda mrefu safari inakuita Nina 32 ila najiona kama vile nimeshachelewa kwenye karibia kila kitu na ni juzi tu nilikuwa mtoto mdogo kabisa...
  2. S

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Nimepona bawasili kupitia jamii forums hapa hapa ila sikumbuki ule uzi Nilikuwa na Google dawa ya bawasili nikakutana link iliyonileta jf
  3. S

    Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    Kipimo cha MRI (Magnetic Resonance Imaging) ni teknolojia muhimu inayotumia sumaku na mawimbi ya redio kupata picha za ndani ya mwili. Muda wa kipimo hiki hutofautiana kulingana na sehemu ya mwili inayochunguzwa na kile ambacho daktari anatafuta. Kwa wastani, kipimo cha MRI huchukua kati ya...
  4. S

    Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    mgonjwa husikia sauti kubwa na za kipekee sana wakati kipimo cha MRI kinaendelea. Mashine ya MRI haifanyi kazi kimyakimya; hutoa mfululizo wa sauti zinazoweza kuwa za kustaajabisha kama hujazoea. Hapa kuna unachopaswa kutegemea kuhusu sauti hizo: 1. Aina ya Sauti Utakazosikia Sauti hizo...
  5. S

    KERO Kero ya Watumishi wa Umma Nchi nzima, Ajira mpya kutokulipwa pesa za Kujikimu Serikali imeamua kuipuuza?

    Cha kustaajabisha hiyo pesa yenyewe wanayodai ukiambiwa utachoka Wengi ni around 700k hadi 1m Posho ya kikao kimoja tu cha bunge inawafumba midomo watumishi wote hawa 300× Tsh. 300,000=90,000,000 Ni makusudi tu
  6. S

    Usiyoyajua kuhusu mtambo wa kisasa wa MRI uliopo MOI

    mgonjwa husikia sauti kubwa na za kipekee sana wakati kipimo cha MRI kinaendelea. Mashine ya MRI haifanyi kazi kimyakimya; hutoa mfululizo wa sauti zinazoweza kuwa za kustaajabisha kama hujazoea. Hapa kuna unachopaswa kutegemea kuhusu sauti hizo: 1. Aina ya Sauti Utakazosikia Sauti hizo...
  7. S

    Usiyoyajua kuhusu mtambo wa kisasa wa MRI uliopo MOI

    Kipimo cha MRI (Magnetic Resonance Imaging) ni teknolojia muhimu inayotumia sumaku na mawimbi ya redio kupata picha za ndani ya mwili. Muda wa kipimo hiki hutofautiana kulingana na sehemu ya mwili inayochunguzwa na kile ambacho daktari anatafuta. Kwa wastani, kipimo cha MRI huchukua kati ya...
  8. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kuna mtu aliyewahi kufanikiwa kubadilishana kupitia Uzi huu?
  9. S

    Mara ya kwanza kunywa kahawa ilikuwaje na ulikunywa kahawa ya aina gani?

    Nilkunywa ile ya vijiweni, nilidhani ina sukari kumbe ni chungu... Nilikunywa sips mbili tu, hata kakikombe kamoja kidogo sikukamaliza Yangu hapo sijagusa tena
  10. S

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Kumbe jamaa yupo hai ila hataki kuleta mrejesho kwanini? Last seen ni dakika 58 zilizopita
Back
Top Bottom