Salaam wakuu
Mtu wangu wa karibu (ke) ana changamoto ya kutokwa na vitundu vidogo vidogo (pores) kama inavoonekana hapo kwenye picha...hiyo ni sehemu ya uso shavuni
Akivikamua/akiviminya izo pores zinatoa kitu kama mafuta mgando mweupe
Anaomba ushauri kwa wataalam wa ngozi na wengine waliowahi...
Inawezekana,
Sisi waislam tukiwa katika kumi la mwisho la ramadhani pale mtu anapoamua kukaa itikafu (kujifungamanisha na msikiti kwa akili ya ibada) hairuhusiwi kukutana kimwili na mkewe
Pia, mahujaji (pilgrim) wakishahirimia (wakishaingia katika eneo la haram na kukusudia ibada ya Hijja)...
Hiyo kitu mimi huwa inanifikirisha Sana, Yani wanaume wengi ukiwaangalia wanaonekana wako chini ya miaka 40 lakini ndevu zao zina mvi
Mimi niko 32 kuna kimvi kimoja icho kidevuni kila nikikichomoa kinatoka tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.