Maisha ni mafupi mnoo, ukiwa chini ya miaka 20 huwa unaona una muda wa kutosha ila story hubadilika unapofika 30+ ndio unaona kumbe miaka inakimbia na huna mda mrefu safari inakuita
Nina 32 ila najiona kama vile nimeshachelewa kwenye karibia kila kitu na ni juzi tu nilikuwa mtoto mdogo kabisa...
Kipimo cha MRI (Magnetic Resonance Imaging) ni teknolojia muhimu inayotumia sumaku na mawimbi ya redio kupata picha za ndani ya mwili. Muda wa kipimo hiki hutofautiana kulingana na sehemu ya mwili inayochunguzwa na kile ambacho daktari anatafuta.
Kwa wastani, kipimo cha MRI huchukua kati ya...
mgonjwa husikia sauti kubwa na za kipekee sana wakati kipimo cha MRI kinaendelea. Mashine ya MRI haifanyi kazi kimyakimya; hutoa mfululizo wa sauti zinazoweza kuwa za kustaajabisha kama hujazoea.
Hapa kuna unachopaswa kutegemea kuhusu sauti hizo:
1. Aina ya Sauti Utakazosikia
Sauti hizo...
Cha kustaajabisha hiyo pesa yenyewe wanayodai ukiambiwa utachoka
Wengi ni around 700k hadi 1m
Posho ya kikao kimoja tu cha bunge inawafumba midomo watumishi wote hawa
300× Tsh. 300,000=90,000,000
Ni makusudi tu
mgonjwa husikia sauti kubwa na za kipekee sana wakati kipimo cha MRI kinaendelea. Mashine ya MRI haifanyi kazi kimyakimya; hutoa mfululizo wa sauti zinazoweza kuwa za kustaajabisha kama hujazoea.
Hapa kuna unachopaswa kutegemea kuhusu sauti hizo:
1. Aina ya Sauti Utakazosikia
Sauti hizo...
Kipimo cha MRI (Magnetic Resonance Imaging) ni teknolojia muhimu inayotumia sumaku na mawimbi ya redio kupata picha za ndani ya mwili. Muda wa kipimo hiki hutofautiana kulingana na sehemu ya mwili inayochunguzwa na kile ambacho daktari anatafuta.
Kwa wastani, kipimo cha MRI huchukua kati ya...
Nilkunywa ile ya vijiweni, nilidhani ina sukari kumbe ni chungu...
Nilikunywa sips mbili tu, hata kakikombe kamoja kidogo sikukamaliza
Yangu hapo sijagusa tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.