Recent content by Sarcomere

  1. S

    JamiiForums Tanzania HOJA Mamlaka zitoe ufafanuzi kuhusu usalama wa nyama zinazogawiwa wakati wa Iddi ya Kuchinja kutoka kwa Waturuki

    Yani kuna meme/kichekesho kinatembea mtandaoni kinachodhihaki nyama ya sadaka ndo huyu bwana kaja kukifungulia uzi
  2. S

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Mercedes Benz AMG C-classs ya kijivuni iko sokoni

    Hauna ya rangi ya silver kama hii?
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kikwete ana changamoto zake ila ndiyo Rais bora kuwahi kutokea nchi hii

    Copy and paste Samson Charles Facebook
  4. S

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni brand ya syrup nzuri ya kikohozi kikavu

    Apidyl cough syrup
  5. S

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Okay sawa, ngoja nilifikishe mchakato uanze
  6. S

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Sawa mkuu
  7. S

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Sawa sawa
  8. S

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Shukrani sana
  9. S

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Nielekeze ndugu ili ashindwe mwenyewe
  10. S

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Ngono inapunguza nguvu za kiroho?

    Ndio
  11. S

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Sawa sawa
  12. S

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Facial ni nini hiyo? Anaweza kupata wapi hiyo huduma kwa gharama gani? Samahani kama swali langu linashangaza
  13. S

    JamiiForums Tanzania Nitumie dawa/lotion/mafuta gani?

    Salaam wakuu Mtu wangu wa karibu (ke) ana changamoto ya kutokwa na vitundu vidogo vidogo (pores) kama inavoonekana hapo kwenye picha...hiyo ni sehemu ya uso shavuni Akivikamua/akiviminya izo pores zinatoa kitu kama mafuta mgando mweupe Anaomba ushauri kwa wataalam wa ngozi na wengine waliowahi...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli Ngono inapunguza nguvu za kiroho?

    Inawezekana, Sisi waislam tukiwa katika kumi la mwisho la ramadhani pale mtu anapoamua kukaa itikafu (kujifungamanisha na msikiti kwa akili ya ibada) hairuhusiwi kukutana kimwili na mkewe Pia, mahujaji (pilgrim) wakishahirimia (wakishaingia katika eneo la haram na kukusudia ibada ya Hijja)...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Nazeeka vibayaa jaman!

    Hiyo kitu mimi huwa inanifikirisha Sana, Yani wanaume wengi ukiwaangalia wanaonekana wako chini ya miaka 40 lakini ndevu zao zina mvi Mimi niko 32 kuna kimvi kimoja icho kidevuni kila nikikichomoa kinatoka tena
Back
Top Bottom