Recent content by Sarcomere

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kwa Sasa Hivi Ukila Mboga Kama Umekula Sumu.Ninashauri Serikali iingilie kati kwa undani zaidi kuhusu suala hili

    Kuna siku nilikula mboga ya majani hadi namaliza kula sikujua ni majani gani maana ladha yake kwenye mchicha haipo, kwenye chainizi haipo wala kwenye tembele haipo Nashukuru mungu nimehama daslam
  2. S

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    Watu mnamdanganya tu mara ajikeep busy, mara ajifunze skills mpya, mara afanye mazoezi...kimsingi hakuna mbadala wa nyege provided kwamba anakuls anashiba na Hana changamoto ya kiafya (hiyo ni Sheria ya asili ya kimaumbile) Dawa ya nyeto ni kuona/kuwa na dem ambae atakuwa anapatikana muda...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Hapa mjini, kupata maziwa pure ambayo hayajaongezwa kitu ni kama bahati ya mtende😃

    HAYAPO Wengine wanachanganya na ngano ili yaendelee kuwa mazito hata baada ya kuwekwa maji
  4. S

    JamiiForums Tanzania Vijana weni wa kibongo kuanzi age23-45 tunaishi kwa miujiza na sio mipango

    Haya mbona umeongelea maisha ya dar es salaam, sio ya Tanzania kwa ujumla
  5. S

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio mashahidi wa Lissu, iwapo mahakama itaamua kwamba ana kesi ya kujibu

    Watu mnashangilia hapa ila anaesota mahabusu ni jamaa nyinyi mnakula maisha tu na familia zenu uraiani Kesho hawawezi kumuachia abadani na watasema anakesi ya kujibu Na kitendo chake cha kumuhitaji top na viongozi wengine wa juu kutamfanya kutamfanya aendelee kusota gerezani (na ndio lengo la...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Lissu kuachiwa Agosti 21?

    Itafanyika kila hila ili asiachiwe, hawawezi kumuachia
  7. S

    JamiiForums Tanzania Lissu kuachiwa Agosti 21?

    Hawawezi kumuachia
  8. S

    JamiiForums Tanzania Lissu kuachiwa Agosti 21?

    Sio rahisi kumuachia
  9. S

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Kipimo kinaitwa endoscopy (EGD/OGD) Gharama yake haipingui laki mbili na nusu Hakiumi, unapuliziwa spray ya ganzi mdomoni kabla ya kipimo Kinaingizwa kupitia mdomoni, kina mpira (tube) ina taa kwa ajili ya kuonyesha sehemu za ndani na kamera kwa ajili ya kuona na kuchukua picha na video za...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Tuunganishe na aliyekutibu mkuu, wahanga tupo wengi
  11. S

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Tuunganishe na aliyekutibu mkuu wahanga tupo wengi
  12. S

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani kinakupa furaha zaidi kwenye maisha yako..?

    Afya na pesa
  13. S

    JamiiForums Tanzania Acha kuteseka, dawa za vidonda vya TUMBO ZIPO!

    Pwani sehemu gani? Gharama yake sh ngapi?
  14. S

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Angalizo Hakuna house girl/mwanafunzi mwenye matatizo ya uzazi
Back
Top Bottom