Habari.
Upo mbali na mkoa wa Dar es Salaam na:
1) Kuna ishu unataka mtu aisimamie /aifatilie au aifanikishe on your behalf?
2) Kuna bidhaa ungependa itafutwe/ ipatikane/ na utumiwe mkoani?
3) kuna chochote ungependa upate msaada / partnership na mtu wa Dar?
Njoo DM kwa mazungumzo...
Nakubali sana Ras. Uchoyo ni roho mbaya na roho mbaya ndo inayotesa watu. Kizuri kula na mwenzio, ubinafsi wa nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii concept huwa naiaminigi pale napoona mtu kapandisha jini. Yani ni kiumbe kingine kabisa kinautawala ule mwili..
Waliowahi kukutana na hili wanaweza kuwa mashahidi.
Mkuu, sijatumia neno DINI
Nimetumia neno IMANI
vitu viwili tofauti hivyo.
Mila na desturi za zamani za kiafrika ni miongoni mwa IMANI.
Dini za wazungu pia ni miongoni mwa Imani.
I stand to challenge them all.
Thank you.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.