Ile inakua Siri na kuamua inategemeana na utashi wa mtu...
Hi nchi hatuko viruri kivileee, unamwambia mtu ukweli unageuka adui....
Tutaambiana kwa njia hizi hizi tu
@(SPEAK LOUD KUELEKEA UCHAGUZI OCTOBER)
Ukweli ni kwamba kuumwa Ni sifa moja wapo ya mwanadamu, kuumwa hukukumbusha kuwa karibu na muumba.
Hutukumbusha pia duniani tu wapitaji... Kuumwa sio dhambi Wala mkosi Wala laana Ni Jambo ambalo hutokea karibuni kwa Kila tabaka, rika, rangi hadi...
Shida hapa huwa Ni uelewa kuwa unapopiga kura unatakiwa uweke mbali mapenzi ya chama ila zingatia sera, mkakati wa utekelezaji wa sera na usikivu na hekima za mtoa sera....
Mbali na hapo huishia kuchagua kwa mapenzi ya rangi, nyimbo, posho, pombe n.k
Asalaam aleykum...
Kwanza kabisa niwatakie kheri ya Eid al Hajji ndugu zetu waislamu.
Nimeona kwamba katika uchaguzi unaogarajiwa kufanywa mwezi October 2020 kuna mambo ambayo yanaumiza na kukera yafanywayo na taasisi binafsi na zile za serikali ambayo kwa ujumla wake yanamuumiza mtanzania...
Habarini wanna jamvi....
Shida tangu Ni kutaka kujua unapokuta bidhaa mtandaoni imeandikwa mfano: piece/lot 7 maana take Ni ipi?
Je..!!?
Wanamaanisha piece 1 vinakua vitu 12 au hivyo vitu 7 ndio pcs/lot?...
Nifafanulieni kupitia hii bidhaa hapa chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.