Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 3,938
- 3,211
Kuna habari zina trend Waziri mkuu amegawa Gari za Wagonjwa kwa Wabunge 50 wa majimbo mbalimbali.
Mbona hizi Gari zina namba za DFPA?
Na tumeambiwa zimenunuliwa kwa Billion 6?
Kwanini zisisajiliwe kwa namba za serikali STJ, STK, STL?
Kuna kaharufu flani hivi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hizi Gari zina namba za DFPA?
Na tumeambiwa zimenunuliwa kwa Billion 6?
Kwanini zisisajiliwe kwa namba za serikali STJ, STK, STL?
Kuna kaharufu flani hivi....
Sent using Jamii Forums mobile app