Alaf we hulieandika ujumbe ni mpu***v sana.... Kwaiyo unaskia raha wanavyopata vitu bure eti? Hurumia nchi yako mpuuz ww ndo mana hatuna maendeleo waswahili aisee,,,, yani limefurahi utasema lenyewe linayo ata baskel au kibanda cha kuishi....!!! Sheeeeennnnnz na watakua tayar tu watake wasitake...
Ikifika mwaka2015 ccm km bado itaendelea kua madarakani nahapa haki ya mungu ntakua jambazi tena lililoshindikana... Maana nshachoka na huu ufisadi wa hii serikali ya tz liwalo na liwe I DON CARE....
Sasa BUNGE na IKULU vinausiana nini? Huoni kama ni vitu viwili tofauti! Au unazani IKULU na BUNGE ni kitu kimoja kwakua rais katokea chama cha ccm.... Jipangeni maboya nyie
Acha ujinga wewe... Ss ulishawai kuona chadema imepanda na mjeruman jukwaani na wakamvisha kofia ya chadema...? We unatakiwa utafunwe kama jina lako linavojielezea(kababu) vyakula vya mitaani ivyo kwa jingine(ubuge)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.