heshima kwenu wana Jukwaa,
huyu binadamu Tundu Lisu ni hazina kwe taifa hili, napendekeza TUMUOMBE agombee uraisi 2015.
- ana busara
- ana ona mbali
- ana akili ya kufikiri
- ni msomi wa kweli
- ameonesha kwa vitendo kuwa anaipenda na kuitetea Tanzania na watu wake
- Si mbinafsi
- Anajua sheria na ataweza kutoondoa kwenye Mikataba mibovu inayosainiwa na Madokta na Maprofesa wa CCM
- Atasaidia chadema kujiosha na propaganda za ukanda
inabidi niache tu kuandika sifa za huyu kiumbe TUNDU LISU maana naweza kuendelea mpaka kesho
Mimi napenda sana mambo yake huyu mtu.
huyu binadamu Tundu Lisu ni hazina kwe taifa hili, napendekeza TUMUOMBE agombee uraisi 2015.
- ana busara
- ana ona mbali
- ana akili ya kufikiri
- ni msomi wa kweli
- ameonesha kwa vitendo kuwa anaipenda na kuitetea Tanzania na watu wake
- Si mbinafsi
- Anajua sheria na ataweza kutoondoa kwenye Mikataba mibovu inayosainiwa na Madokta na Maprofesa wa CCM
- Atasaidia chadema kujiosha na propaganda za ukanda
inabidi niache tu kuandika sifa za huyu kiumbe TUNDU LISU maana naweza kuendelea mpaka kesho
Mimi napenda sana mambo yake huyu mtu.