Recent content by santali

  1. S

    Mbunge Ndugulille, Barabara hizi za Kigamboni huzioni?

    Pamoja nakulipa malipo ya vivuko na daraja cha kushangaza wananchi wakigamboni tunashida Sana, Darajani hadi Maweni hakupitiki Kabisa, tatizo tuna viongozi siyo wabunifu kabisa hawana vipambele
  2. S

    Ukweli kuhusu "Kaskazini kuendelezwa na Wanakaskazini"

    Endeleeni na mawazo hayo hayo ya ukaskazini, angalia mwanza kutakueje baada ya miaka kumi, Moshi, Moshi , Haya jihadhari sasa hivi zitabaki mbege nawambia
  3. S

    Tanzania yazidi kujidhalilisha mbele ya Jumuiya za Kimataifa

    Hivi mchango mkubwa wa viongozi wa serikali za mitaa kwa Maendeleo ya nchi nini?
  4. S

    Kutokana na kusuasua kwa EAC, nashauri EAC ijiunge na SADC, na SADC ijiunge na Sub-Saharan Africa Free Trade Area (SSAFTA)

    Dawa nikuwa na wizara ya mambo ya ndani ya pamoja na wizara ya ulinzi tukifakiwa hilo ugomvi utaisha, iwe muungano wa Tanzania na Zanzibar
  5. S

    CCM wanalilia Zimbabwe iondolewe vikwazo wakati wao wanawekea upinzani vikwazo ndani ya nchi yao. Huu si zaidi ya unafiki wa Kifarisayo?

    Ndugu yangu mambo ya Zimbabwe yanahitaji umoja wa Waafrika hakuna sababu kuzungumzia mambo ya human right, kuna mambo makubwa mengi yanayowaumiza wananchi Wa Zimbabwe, mkakati wa Wa Wazungu ni rasilimali walizowekeza Zimbabwe, daima waliweka Zimbabwe kama mali yao, kitenda cha kudai haki ya...
  6. S

    Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

    Magufuli ni binamu mwenye maona, kila jambo linawakati wake, watu wanamsema vibaya ni binadamu wa ajabu Sana, nadhani wameshuhudia, Magufuli alivyo kwenye mioyo ya Watanzania, ni mtu wa vitendo hataki siasa za kulemba ni kiongozi aliyetayari kuwakemea wataule wake bila waoga,Mungu akulinde rais...
  7. S

    Ripoti ya IMF: Tanzania haimo katika nchi 10 za Afrika chini ya Jangwa la Sahara zenye uchumi unaokua kwa kasi zaidi

    Mbona unaanzisha uongo Watz hawanawivu inawezekana ni mtizamo wako tu, Maendeleo ya Rwanda ni ya Wtz vilele, acha maneno ya uchochezi, Tanzania itabaki Tanzania, tunataka maneno ya kutiana moyo, fikra ovu za nini?
  8. S

    Bunge lilelile lililoweka utaratibu wa viboko usishange likautengua kufuata matakwa ya serikali

    Lazima adhabu ya viboko iwepo watoto wanaleta ujinga wa wawazi kabisa kisa haki za binadamu, ni upotoshaji wakifanya makosa ya wazi adhabu ya viboko ni muhimu
  9. S

    De Clerk na Mandela, Magufuli na Rugemalira

    Jamani hivi kama pesa nizako unaweza gawa kwa viongozi waandamizi kwa kiwango hicho, ni jambo la ajabu sijajua kama nchi zilizotupa uhuru kama England unaweza fanya hivyo, labda watusaidie wajuaji wa mambo, hapo kuna mambo yamefichika
  10. S

    Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) na Wakurugenzi wa Halmashauri

    Lugha ya makabila inatoka wapi? Tuache tabia ya kuuliza kila rais anapofanya teuzi kabila gani? Hii ni nchi moja, tusimpangie rais uteuzi
  11. S

    Tupendekeze miradi gani mingine mikubwa (yenye manufaa) ya kutekelezwa kwenye kipindi cha pili cha awamu hii ya tano

    Tujenge barabara km 100 pembezoni mwa bahari kwa lengo la kutenga utalii wa bahari , sambamba nakupima viwanja vya ujenzi wa mahoteli ili kukuza utali bahari, na hakika tutachochea ongezeka la fedha za kigeni na ajila
  12. S

    Uboreshaji wa Jiji la Dar es salaam kupitia mradi wa DMDP

    Kigamboni hapo Dar nini?
  13. S

    Hawa ndiyo Marais pekee waliokuwa na Intelligence kubwa katika lugha

    Pole, lugha ndiyo akili ajabu Sana , ukikijua kingereza ndiyo akili kubwa mambo ya ajabu Kabisa.
Back
Top Bottom