Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
KATIBU MKUU WA CCM TAIFA
Hivi karibuni Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa kimetoa kauli yakuiomba Umoja wa Mataifa na Jumuia za Ulaya kuiondolea vikwazo vyakiuchumi nchi ya ZIMBABWE
Na mimi sinaubishi juu ya hilo nakubaliana nalo na ninaungana na chama changu cha CCM
Ndugu katibu mkuu YESU alitufundisha kuwa
MSIWE KAMA MAFARISAYO WANAFIKI KWAMAANA WAO HUPENDA KUOSHA VIKOMBE VYAO KWA NJE ILI VIONEKANE NA WATU LAKINI NDANI NIVICHAFU
Hivyobasi sitamani CCM ifanane na MAFARISAYO kwakuosha vikombe vyao kwanje lakini ndani nivichafu
CCM tutakuwa ni wanafiki kama tunaona uchungu ZIMBABWE kuwekewa vikwazo vyakiuchumi wakati ndani ya nchi yetuya TANZANIA hatuposawa kisiasa na Kidemokrasia
CCM kama kweli tunahitaji haki itendeke ZIMBABWE kwakuondolewa vikwazo vyakiuchumi, nilazima na sisi CCM tuonyeshe mfano na uchungu wa Demokrasia
KWAKURUHUSU VYAMA VYAUPINZANI NAVYENYEWE VIRUHUSIWE KUFANYA MIKUTANO YAO YAKISIASA
Kwakufanya hivyo tutakuwa tumeitendea HAKI demokrasia lakini pia hata sauti zetu tunazopaza UMOJA WA MATAIFA ZITAKUWA NA MSHIKO TIJA KWA TAIFA LETU
Katibu wangu wa CCM Taifa
Nijambo lisiloingia akilini hata kwa mtoto aliyezaliwa jana
HIVI INAWEZEKANA VIPI UKAAMULIE UGOMVI WA JIRANI YAKO WAKATI KWAKO WATOTO WAKO WANAGOMBANA KWA WAKATI HUOHUO?
Huu NIUNAFIKI usiokuwa na tija nisawa na MTU ALIYESHIKA GITAA NAKUMPIGIA MBUZI ILI ACHEZE
Acheni kucheza na akili za Watanzania iposiku mtayatolea hesabu mambo yenu maovu mnayoyafanya
Mwalimu NYERERE alisema kuwa KUWA UPINZANI SIYO DHAMBI isipokuwa Dhambi inakuja pale mtu mmoja anapohamasisha vurugu na uvunjifu wa Amani ya Taifa letu
Nakwakuonyesha msimamo wa kauli yake hakuweza KUMTENGA WALA KUMBAGUA MWANAYE WAKUMZAA (MAKONGORO NYERERE) ALIPOIHAMA CCM NAKUJIUNGA NA CHAMA CHA UPINZANI CHA (NCCR MAGEUZI)
Nahiyo ndiyo demokrasia yakweli
Nchi haiwezi kuongozwa kwakuwafunga watu makufuri mdomoni ili wasiseme wala kutoa hisia zao katika mambo ambayo yanagusa masrah ya Nchi
Ninaamini ujumbe umefika nimatarajio yangu kuwa tutakuwa tumewatendea haki wana ZIMBABWE na WATANZANIA kwaujumla kama tutajisafisha sisi wenyewe ktk nchi yetu nakuruhudu Demokrasia itawale kwamanufaa ya nchi
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hivi karibuni Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa kimetoa kauli yakuiomba Umoja wa Mataifa na Jumuia za Ulaya kuiondolea vikwazo vyakiuchumi nchi ya ZIMBABWE
Na mimi sinaubishi juu ya hilo nakubaliana nalo na ninaungana na chama changu cha CCM
Ndugu katibu mkuu YESU alitufundisha kuwa
MSIWE KAMA MAFARISAYO WANAFIKI KWAMAANA WAO HUPENDA KUOSHA VIKOMBE VYAO KWA NJE ILI VIONEKANE NA WATU LAKINI NDANI NIVICHAFU
Hivyobasi sitamani CCM ifanane na MAFARISAYO kwakuosha vikombe vyao kwanje lakini ndani nivichafu
CCM tutakuwa ni wanafiki kama tunaona uchungu ZIMBABWE kuwekewa vikwazo vyakiuchumi wakati ndani ya nchi yetuya TANZANIA hatuposawa kisiasa na Kidemokrasia
CCM kama kweli tunahitaji haki itendeke ZIMBABWE kwakuondolewa vikwazo vyakiuchumi, nilazima na sisi CCM tuonyeshe mfano na uchungu wa Demokrasia
KWAKURUHUSU VYAMA VYAUPINZANI NAVYENYEWE VIRUHUSIWE KUFANYA MIKUTANO YAO YAKISIASA
Kwakufanya hivyo tutakuwa tumeitendea HAKI demokrasia lakini pia hata sauti zetu tunazopaza UMOJA WA MATAIFA ZITAKUWA NA MSHIKO TIJA KWA TAIFA LETU
Katibu wangu wa CCM Taifa
Nijambo lisiloingia akilini hata kwa mtoto aliyezaliwa jana
HIVI INAWEZEKANA VIPI UKAAMULIE UGOMVI WA JIRANI YAKO WAKATI KWAKO WATOTO WAKO WANAGOMBANA KWA WAKATI HUOHUO?
Huu NIUNAFIKI usiokuwa na tija nisawa na MTU ALIYESHIKA GITAA NAKUMPIGIA MBUZI ILI ACHEZE
Acheni kucheza na akili za Watanzania iposiku mtayatolea hesabu mambo yenu maovu mnayoyafanya
Mwalimu NYERERE alisema kuwa KUWA UPINZANI SIYO DHAMBI isipokuwa Dhambi inakuja pale mtu mmoja anapohamasisha vurugu na uvunjifu wa Amani ya Taifa letu
Nakwakuonyesha msimamo wa kauli yake hakuweza KUMTENGA WALA KUMBAGUA MWANAYE WAKUMZAA (MAKONGORO NYERERE) ALIPOIHAMA CCM NAKUJIUNGA NA CHAMA CHA UPINZANI CHA (NCCR MAGEUZI)
Nahiyo ndiyo demokrasia yakweli
Nchi haiwezi kuongozwa kwakuwafunga watu makufuri mdomoni ili wasiseme wala kutoa hisia zao katika mambo ambayo yanagusa masrah ya Nchi
Ninaamini ujumbe umefika nimatarajio yangu kuwa tutakuwa tumewatendea haki wana ZIMBABWE na WATANZANIA kwaujumla kama tutajisafisha sisi wenyewe ktk nchi yetu nakuruhudu Demokrasia itawale kwamanufaa ya nchi
MUNGU IBARIKI TANZANIA