Hongera mkuu. Nimejiunga na betway lkn nashindwa deposit kwa tigopesa. Wewe unatumia mtandao gani. Na je una namba ya simu ya mtu yoyote wa betway tz. Naomba msaada wako mdau
Habarini za j2 wakuu. Ligi nyingi zimeanza sasa. Kuna hii kampuni ya kubeti inaitwa betway. Nimeona wamefungua Tanzania. Sasa ukitaka kudeposit fund kwa tigopesa inagoma. Sasa wakali wa hizi kazi, naombwni msaada. Kama kuna mdau alifanikiwa kideposit kwa tigopesa, msaada please.
Dah safi sana mkuu, umenikumbusha mbali sana, enzi za Plaza, PICHA MBILI, KIINGILIO KIMOJA. Hiyo inaanzia sa 4 mpk liamba, dah MO TOWN tuliitendea haki sana na pale ABC kama waenda Railway Station
Subaru impreza ni gari nzuri, iko fasta hasa katika long safari. Pia ni sport car, na inatulia barabarani. Shida ni pale utaitaji spare parts, kidogo bei imechangamka na sio nyingi kivile. Ila utazipata.
IST nayo ni gari nzuri sana. Fuel consumption iko poa sana hasa zike za 1290. Ingine zake...
Wakuu habarini za wakati, wanaboard.
Moja kwa moja nijikite kwenye mada. Nimefuga kuku kwa miaka takribani 6 sasa. Nimefuga kuku wa mayai (layers) na kuku wa nyama (broilers). Katika ufugaji wangu nimezingatia kanuni zote pamoja na ushauri wa wataalam.
Nimekuwa nikipata matokeo chanya katika...
Nenda bank kavute mkopo wa 10m weka kadi ya gari kama asset, nunua kiwanja chenye, panda miti ya matunda kuzunguka kiwanja.
Then, sikilizia makato.
Utakuja hapa kuwashukuru wanaboard kwa ujumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.