Hamu ya kufanya mapenzi kila mara

Hamu ya kufanya mapenzi kila mara

Tatizo ni ngum kuelewa mwanamke anataka nini...
Ukimfanya kidogo ataenda kulalamika,ukimfanya sana atalalamika,kuishi na mwanamke inahitajika akili ya ziada.

Kuna video ya dada wa kichaga,nimeona amejichukua akiwa wamelala na bwana wake,analalamika wazi wazi,ya kwamba jamaa akipiga kimoja tu chali,na ni kweli ukiitazama video lijamaa halina habari linakoroma kama gari bovu linapanda mlima.
mkuu hebu nitumie pm 😛 😛 😛
 
Watu msio chepuka mna tabu sana dah.

Unatesa mwanamke wakati kuna wapenda game wamejaa mtaani, mwingine anasema nataka tukianza saa 1 hadi saa 6 ndo ushuke kutoka kwa papuchi non stop.
Sasa hawa ndio mm nawatafutaga sema huwezi kumjuaa kwa macho mkuu
 
Nenda bank kavute mkopo wa 10m weka kadi ya gari kama asset, nunua kiwanja chenye, panda miti ya matunda kuzunguka kiwanja.

Then, sikilizia makato.

Utakuja hapa kuwashukuru wanaboard kwa ujumla.
 
Huna majukumu wewe, kuwa na mipango mikubwa ndani ya muda mfupi uone kama kichwa kidogo kitasimama.
Usirizike na hali uliyonayo mjuba
Mkuu nivile hunijuii tu.Maproject ninayomiliki sio poa.

Sema nisjiexpress sanaa.

Finally ni kirejeaa home bichwa linanielekza kwa wife tu..

Show show
 
mkuu ushauri wa bure...
tafuta hobby ..hii hupelekea ndoa nying kuyumba lately....unatakiwa kuishi na mwanamke kwa akili...
ndiyo una haki naye, ila wanawake bwana hawakosi sababu, hapo utamfanya atafute hata mradi, akitoka job apitie ashinde huko mpaka saa tatu akirud aanze story za uchovu, huko atajenga marafiki wapya na kupokea external vishawish,,,unajua mke hata umpe hela vipi ni jukumu lako , ila akihongwa hata laki nje ataona bonge la bingoo....so kaa naye kwa akili, usimkaze sana ..anza kumpangia ratiba..una vusha hata siku mbili humpigi show,,ila hizo siku mbili ni care la ajabu,,mara mpike wote, mara ukamtafutie zawadi gafla usiku , mara mtoke mkale nje..ili mradi uwe busy naye..
waswahili tunaita ku marinate nyama..afu ikiiva unaila ipasavyo...unarudia tena....hii inasaidia kisaikolojia awe watayar na exited everytime anajua soon ntatombwa...sio daily anajua aah nakazwa leo..
 
basi endelea kupiga tu mzigo kwani ni wakati wako. Wakati utafika pia mwili na akili vitapoa hiyo itakuwa historia
 
Raha ya kuoa hiyo jipigiage tu! Kama mkeo anachoka mwambie yeye mwenyewe akusaidie kutafuta wa kumsaidia kupigwa mashine.
 
Back
Top Bottom