Recent content by Sanie

  1. S

    Ugonjwa gani huu na dawa yake?

    Nina maua yamepata ugojwa kama huu naombeni ushauri na dawa
  2. S

    TAZARA ya SGR itakuwa " white elephant" lingine kupitia TOZO

    Watu wengine wanaboa mpaka Sasa hivi mtu na mindevu yake hajui faida ya reli ukilinganisha na Barbara ww kauze Hilo lorry lako tuu isituaribie barabara
  3. S

    Anayemiliki mabasi ya Kilimanjaro ni Tajiri wa ajabu kweli kweli

    Vitu vingine sijui NI chuki mm navyojua Kilimanjaro Ina mpaka mabasi D pia anaangalia route na faida halafu sio tajiri wa waruwaru
  4. S

    Zama za Kilimanjaro Express zimeisha

    Jaribuni KIDIA wote mtanyoosha sentensi
  5. S

    Huu Mtanange wa DStv v. Star Times Tanzania

    Huyu anafananisha nn mm natamani kutupa jalalani Startimes hata Hana Cha kumkuta Azam sembuse DSTV
  6. S

    Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

    Watu hata hawajui mashrti na vigezo vinavyotakiwa BUKOBA DU WATA NGOJA SANA
  7. S

    Mtoto wa Msukuma apata 'A' zote kwenye matokeo ya kidato cha pili

    Hizi no result za wapi zinazotoka na majina ya watainiwa badala ya number zile za NECTA sijaiona majina
  8. S

    Kwanini Shule za Serikali za vipaji maalum hazifanyi vizuri mitihani ya kidato cha nne (CSEE) tofauti na ile ya kidato cha sita(ACSEE)

    Angalia Idadi ya wanafunzi mfano Mdogo tuu Ilboru - Div I - 103 sasa unalinganishaje na shule yenye darasa la watu 20 -. 30
  9. S

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Nina kingwamuzi Cha Starttimes je ninaweza kukiunganisha kwenye simu yangu niweze pia kuangalia kupitia simu yangu
  10. S

    Maoni Binafsi: Aliyefungia websites za ngono hakutumia akili

    Mmh acha thinga fikiria watoto wako wanaingia kwenye uraibu huo inakuwaje hapo serikali Ina mantuki inalinda kizazi kichanga isiwe Kama wewe bazazi
  11. S

    Hospitali zituheshimu wateja, mnatuibia sana

    Du kweli Kuna haha ya kuratibu baadhi ya gharama Kama consultation na registration fee
  12. S

    Ajali Morogoro: Mmiliki wa hoteli ya Villa Park apata ajali mbaya na kufariki dunia

    Nyie humu vipi mtu kapoteza maisha mnaleta utani pumbafu
Back
Top Bottom