Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Imani ni ngumu sana kuthibitisha kwa njia za kawaida za ufahamu.
Ili kujua kitovu kina madhara hayo, wajitokeze watu ambao wapo tayari kujitolea watoto wao kuwa sehemu ya utafiti huo ili kuondoa sintofahamu hii.
Mimi naamini kuwa kitovu kina madhara kama kikianguakia uume wa mtoto mchanga. Kwa upande wa wanawake hilo sijui na sikuwahi kusikia ila naweza kuamini pia.
Ili kujua kitovu kina madhara hayo, wajitokeze watu ambao wapo tayari kujitolea watoto wao kuwa sehemu ya utafiti huo ili kuondoa sintofahamu hii.
Mimi naamini kuwa kitovu kina madhara kama kikianguakia uume wa mtoto mchanga. Kwa upande wa wanawake hilo sijui na sikuwahi kusikia ila naweza kuamini pia.