BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Ulikuja tupu utarudi tupu mamaKifo bwana.utahangaika wee duniani.ukifa kila kitu unakiacha.unazikwa wewe kama wewe tu.kama una mali zako wengine ndio wanarithi kiulaini.kama hiyo jamaa hiyo jamaa mke, mtoto wote wamefariki na yeye pia.