Hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete atafanya ziara ya kikazi Mkoani Mara.Inadaiwa kuwa Rais akiwa mkoani Mara atakagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na ufuatiliaji wa utekelezaji wa agizo lake la hivi karibuni la ujenzi wa maabara katika shule za sekondari nchini hususani zile za...
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema Taifa John Heche anamaliza muda wake wa uongozi wa Baraza hilo baada ya kuliongoza kwa mafanikio makubwa.
Binafsi nimetafakari na kupata jawabu la nani atakuwa mrithi wa nafasi hiyo ya juu ya uongozi wa vijana ndani ya chama hicho.Kijana mwenye sifa...
Akichangia katika bunge la Katiba,mjumbe wa bunge hilo Paul Makonda amewaita Mhe Freeman Mbowe,Mhe Jusa na Mhe Lipumba kuwa ni watoto wa Shetani kwa hatua yao ya kuunga mkono mapendekezo ya muundo wa serikali tatu yaliyopo kwenye rasimu ya Katiba mpya.
CCM inatupeleka kuzimu,wakati wanapata fedha za kumlipa Zitto na genge lake ili aiangamize Chadema wanakosa fedha za kuwalipa madaktari.Ina maana hiyo halmashauri haipati OC ili angalau iwapangishie nyumba hao madaktari ambao hawajaingia kwenye pay roll? Poor CCM!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.