City Owl
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 3,764
- 8,245
Pale Rorya vijana hawashtuki kwa sababu..
1.hawana elimu (hata hizi za kijasiriamali zilizozagaa siku hizi)
2.hawana movements..miaka yote wanaishi sehemu hizo tuu...hawajui huku nje maisha yako vipi..
3. Hakuna juhudi za dhati zifanywazo na wanarorya waliojanjaruka tayari katika kuwaamsha wenzetu ambo bado wamelala..
4.ushirikina mwingi.. Hata wanarorya wa mijini wengi wanaogopa kufanya maendeleo makwao kwa woga wa kurogwa.
Nini kifanyike?
1.volunteers ama agents maalum wajitokeze uundwe mkakati wa kutoa elimu...hasa juu ya ujasiriamali na matumizi ya hela....mfano. vijana pale shirati-sota wanapata hela wanahonga tu na kunywa pombe...hawa-save wala hawawekezi.
2.ninyi mlio huku nje wavuteni wenzenu walio kule pindi nafasi zinapotokea. Sio kubaniana. Tuige wachagga katika hili.
3.pia...sisi ambao ambao angalau tumeshashtuka, tunaporudi huko tuonyeshe kweli tumeshtuka...sio kukaa maskani na wale vijana kuwaskiliza mawazo yao na kuwaacha hivyo hivyo ilhali unaweza kuwaongezea mawazo mbadala..ni unafiki..usipende tu sifa ukirudi kijijini kwenu unanga'aa ukawaacha wenzio wamezubaa..
Nawasilisha mawazo yangu.
1.hawana elimu (hata hizi za kijasiriamali zilizozagaa siku hizi)
2.hawana movements..miaka yote wanaishi sehemu hizo tuu...hawajui huku nje maisha yako vipi..
3. Hakuna juhudi za dhati zifanywazo na wanarorya waliojanjaruka tayari katika kuwaamsha wenzetu ambo bado wamelala..
4.ushirikina mwingi.. Hata wanarorya wa mijini wengi wanaogopa kufanya maendeleo makwao kwa woga wa kurogwa.
Nini kifanyike?
1.volunteers ama agents maalum wajitokeze uundwe mkakati wa kutoa elimu...hasa juu ya ujasiriamali na matumizi ya hela....mfano. vijana pale shirati-sota wanapata hela wanahonga tu na kunywa pombe...hawa-save wala hawawekezi.
2.ninyi mlio huku nje wavuteni wenzenu walio kule pindi nafasi zinapotokea. Sio kubaniana. Tuige wachagga katika hili.
3.pia...sisi ambao ambao angalau tumeshashtuka, tunaporudi huko tuonyeshe kweli tumeshtuka...sio kukaa maskani na wale vijana kuwaskiliza mawazo yao na kuwaacha hivyo hivyo ilhali unaweza kuwaongezea mawazo mbadala..ni unafiki..usipende tu sifa ukirudi kijijini kwenu unanga'aa ukawaacha wenzio wamezubaa..
Nawasilisha mawazo yangu.