Suala la mapinduzi hasa kwa nchi za kiafrika ni dhahiri kutokana na hali halisi ya kisiasa na kiuchumi iliyopo. Mfano hapa kwetu Tz ni dhahiri kuwa wasomi wanadharaulika sana, hawana thamani tena, watu wasio na shule ndio wamiliki wa uchumi na nguvu za kisiasa. Hata ktk bunge letu, serikalini na...
Hili jambo linanikera sana.
Mfano
Jana nilikuwa natokea maeneo ya Kisongo-Arusha kuelekea mjini(Arusha) lakini tulipofika airport tulisimamishwa na traffic kwa muda zaidi ya dk 30. Nilipokuwa najuliza kisa ni nini tuliona msururu wa magati yasiyopungua 30 yanatokea airport kuelekea mjini...
Ahsante kwa ufafanuzi coz wengine hatujui tofauti ya utaratibi wa kesi za madai na jinai. Sisi tunabaki kuwa watazamaji. Wasiwasi wangu ni kwamba jambo hili litaathiri industry ya music in Tanzania esp those who are sponsored and promoted by either parties. Worth enough, even to the gospel music...
Kumekuwa na taarifa nyingi na za kuchanganya kuhusu tukio la jana hapa Arusha, hata scene yenyewe ni ya kuchanganya kwakuwa watu walipigwa na butwaa hata maaskari waliokuwepo ktk eneo la tukio walichanganyikiwa.
Mimi nina uhakika lazima kuna mtu aliona tukio hili mwanzo mwisho na engine hata...
Hili ndio tatizo la the so called muungano yaani eti Salim A. Salim awe raus wa Tanzania? Who said so?
We can not intertain that...we need a person from Tanganyika aliye who can realy lead the nation.
Mimi napinga hoja hii. UDSM imepanda sana kwa ubora Africa mwaka huu na ni cha sita (6) out of 100. Mtoa hoja ametumia data za 2010/2011. Kwa Tz ni UDSM na SUA tu vimeingia best 100 universities in Africa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.