Recent content by sangalobode

  1. sangalobode

    Angalia hiki kidubwasha alichogundua mwanafunzi katika shule fulani hapahapa bongo.!

    Mkuuu umeenda mbali sana! Maaaana yangu ilikuwa wazi juu ya wake wa kusema kagundua ile hali kitu kilikwisha gundulika
  2. sangalobode

    Angalia hiki kidubwasha alichogundua mwanafunzi katika shule fulani hapahapa bongo.!

    Kajitahidi kuwafanya watu wajue ni nini anajua japo kilikuwepo
  3. sangalobode

    Kinachoua bomu linapolipuka ni nini?

    Mimi sidhani kama kuna utata wala woga juuu ya hilo linalozungumziwa maana ndo ulimwengu tulio nao kwa sasa, waweza ogopa kujua lakini likakupata na ukashindwa jinsi ya kujikwamua
  4. sangalobode

    Jinsi ya kupata ujumbe na simu za mtu mwingine

    Vip laiti ingekuwa ndo wewe unafanyiwa hivyo watu wanazijua sms zako na maongezi yako! Hiyo kitu nadhani haipo
  5. sangalobode

    Wizi wa taarifa za ATM card yako

    umeeleweka ndugu,chamsingi ni kuwa makini
  6. sangalobode

    Spika wa Bunge la Afrika Mashariki ang'olewa

    Jamani inabidi tukumbukuke kuwa hawa ndugu wanaweza endapo wakiwezeshwa!
  7. sangalobode

    Daktari feki akamatwa tena Muhimbili

    Hapo kuna mchezo wa kugeukana umefanyika!Haiwezekani mtu akafanya kazi kama hiyo harafu leo hii mtuambie ni feki Dr
  8. sangalobode

    Hivi kuchangia harusi ni jambo la lazima au hiari?

    Kwani hicho kiwango ni nani huwa anatamka kuwa ni sahihi kwa kila mchangiaji?Mara nyingi wanaopendekeza kiwango ndo wanaofanya maisha kuwa magumu kwa wachangiaji kisha wao wasitoe kile walicho ahidi.
  9. sangalobode

    Mwanafunzi Kidato cha kwanza abakwa darasani

    Kwa hao wabakaji endapo itachukua mda kuwa kamata baasi kutakuwa kuna mikono ya wengi wanao husika.Pia ingekuwa ni vyema kama tutakuwa tunapata taarifa kuwa hilo suala linaendeleaje?
  10. sangalobode

    Tahadhari; Madalali wengi wanatumia uchawi

    Kama ni kweli umejiridhisha na upembuzi juu ya hao madalali ni vyema,Ila kumbuka kuwa nao ndo Maisha yao kwa hiyo kutowatumia kuna ugumu kidogo hususani pale unapokuwa ni mgeni na yale mazingira.Cha msingi ni kuwa makini kuwa soma wao kabla hawajakusoma na shida yako
  11. sangalobode

    Walimu wa arts hawataajiriwa serikalini, Mwalimu umejipanga kuuza karanga?

    Wakati wa kuwa waungwana nadhani umefika sasa!kwa nini watu mnagoma kukubaliana na ukweli pindi unaposemwa?Labda mlitaka huo ukweli kuhusu ajira uwafikie kwa mfumo upi ili iwe sawa na matakwa ya nafsi zenu?
Back
Top Bottom