Sio hiyo hata African Union inafanya nini? Inapokea amri toka Umarekani na nchi za magharibi. Libya imekuja pinduliwa na majeshi ya magharibi ndani ya nyumba(Africa) yao na Raisi wake kuuwawa wamefanya nini. Kwa mujibu wa Katiba yao hawatoshirikiana na nchi ya Africa inayopinduliwa na jeshi, wakajaribu kutaka kujifanya wakali wakati Misri serikali ya Muslim Brotherhood iliongia madarakani kidemokrasia ilivyopinduliwa na jeshi walijitia kutaka kuvunja uhusiano na serikali ya kijeshi ya misri hawakuchukua muda walipoamrishwa na Umarekani na nchi za magharibi wasiingile suala hilo, wenyewe nchi mmoja mmoja zikaanza kuitambua na kushirikiana nayo bila kujali kuwa wanaenda kinyume na katiba yao. Africa hatutakua huru mpaka pale tutapojikwamua kiuchumi siyo kwenda kupiga domo maneno mengi Makao makuu ya jumuia yetu huku tunategemea matatizo yetu yamalizwe na nchi za magharibi.mimi hata sionagi faida ya hili lidubwasha.....among the very useless inter regional organ i had ever seen all over the world.
Alimpiga mbunge wa Uganda mkuu, sahihisha apo!!Shyrose Bhanji alimpiga mbunge mwenzake kutoka Tanzania katika harakati zake za kumwokoa huyo Spika. She was backing the wrong horse!
Sio hiyo hata African Union inafanya nini? Inapokea amri toka Umarekani na nchi za magharibi. Libya imekuja pinduliwa na majeshi ya magharibi ndani ya nyumba(Africa) yao na Raisi wake kuuwawa wamefanya nini. Kwa mujibu wa Katiba yao hawatoshirikiana na nchi ya Africa inayopinduliwa na jeshi, wakajaribu kutaka kujifanya wakali wakati Misri serikali ya Muslim Brotherhood iliongia madarakani kidemokrasia ilivyopinduliwa na jeshi walijitia kutaka kuvunja uhusiano na serikali ya kijeshi ya misri hawakuchukua muda walipoamrishwa na Umarekani na nchi za magharibi wasiingile suala hilo, wenyewe nchi mmoja mmoja zikaanza kuitambua na kushirikiana nayo bila kujali kuwa wanaenda kinyume na katiba yao. Africa hatutakua huru mpaka pale tutapojikwamua kiuchumi siyo kwenda kupiga domo maneno mengi Makao makuu ya jumuia yetu huku tunategemea matatizo yetu yamalizwe na nchi za magharibi.
Alimpiga mbunge wa Uganda mkuu, sahihisha apo!!
Ni wa nchi gani huyu
Samahani, ebu tukumbushe tena tatizo lake lilikuwa nini!.... Magreth Zziwa Atoke Tu, Siyo Kiongozi.!
Ni wa nchi gani huyu
.... Magreth Zziwa Atoke Tu, Siyo Kiongozi.!