montana zayumba
JF-Expert Member
- Nov 9, 2014
- 225
- 31
Aiseee umenikuna hii yote inatokana na serikali legelege kila kitu kinakuwa legelege.
Hoja yako ni dhaifu sana, sema jambo jingine,lkn ktk hili nataka kukujulisha kuwa zikoserikali imarasana Duniani lkn haya matukio yamejaa, Shida yenu kuzaa raha kulea mnataka Serikali iwalelee haiingii akilini Wajibikeni msikwepe majukumu wazaaji.