Recent content by Sangabuye

  1. Sangabuye

    Wanasema hakuna umri katika mapenzi lakini miaka ikipishana sana mtakutana na changamoto nyingi

    Tofauti ya umri kati yao ni miaka 17, matatizo waliyoyapata ni kwamba wifi alikuwa hataki hata kumuona Liz
  2. Sangabuye

    Zitto Kabwe: Mahindi ya Tanzania ni salama

    Mlivyochoma vifaranga vyao 6000 nakutaifisha ng'ombe zao mliwaeleza kindugu? Mkuki kwa nguruwe ...
  3. Sangabuye

    Video: Freeman Mbowe ni miongoni mwa watu wachache wenye akili kubwa ambao Tanzania imebarikiwa kuwa nao , Asante Mungu kwa zawadi hii

    Ana akili kweli Ila kikubwa ni msikivu na mstaarabu. Amezungukwa na wazee wenye akili nyingi Amina Prof Safari, Prof Balegu na wengine. Ukichanganya ustaarabu na usikivu wake na vichwa vilivyomzunguka lazima awe super.
  4. Sangabuye

    Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

    Na ukikuta gaidi siyo Muislam atakuwa ameajiriwa na Muislam kutekeleza ugaidi
  5. Sangabuye

    Hivi ni kweli wasanii wengi wa Tanzania baba zao waliwatelekeza?

    Baba yake ni mwarabu alikuwa pale tanga mjini stand ya ngamiani akiuza change na baadaye alishindwa hiyo kazi sababu kubwia unga akala hizo change akafungwa gereza la maweni
  6. Sangabuye

    GE2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

    Bahati mbaya huja-declare itikadi yako pamoja na jitihada zako za uandishi.
  7. Sangabuye

    Hivi ni kweli wasanii wengi wa Tanzania baba zao waliwatelekeza?

    Huyo hakutelekezwa na baba ya yake, mama ndiye aliyekimbia na watoto kwenda kuolewa kwingine baada ya hali ya uchumi ya mumewe kuwa ngumu
  8. Sangabuye

    Misa ya Mkapa: Nimeona tofauti kubwa kati ya maaskofu wa Katoliki na wale wa makanisa kama la Gwajima!

    Jaribu kutofautisha Mihemuko na uwepo wa Roho Mtakatifu. Kwa Roho Mtakatifu hakuna mihemuko. Usiukoee heshima utatu Mtakatifu kwa kuufananisha na mihemuko ya akina Gwajima na wenzie
  9. Sangabuye

    Aibu hii ya Madagascar Mbona inafichwa? Serikali iache siasa kwenye afya Zetu

    Una uhakika kuwa ile dawa haikutumika hapa nchini, unaweza kutufamisha ni taasisi gani inafanya huo utafiti na umefikia wapi?
  10. Sangabuye

    Yapi madhara ya kutumia sana ndimu/limao?

    Hli lina ukweli maana jino langu moja limekuwa very sensitive na lingine limekatika kipande leo, sikuwa na tatizo hili kabla ya kuanza kutumi huu mchanyato Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
  11. Sangabuye

    GE2020 James Mbatia: Chama chetu cha NCCR Mageuzi kinakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani nchini

    Huyu naye bule kabisa, kwanini asiseme NCCR ni chama kinachoenda kuchukua Dola kwenye uchaguzi ujao. Kwa maneno yake haya inadhihilisha kuwa tayari kuna makubaliano kati ya NCCR na chama kingine kitakachochukua dola Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Sangabuye

    Uandishi huu wa message au ujumbe mfupi wa maneno unakera

    Mimi huwa sisomi sms za hivyo, nikishaona vifupisho vya hivyo nafutilia mbali ujumbe huo. Huwa natafuta mahusiano ya herufi S na X sioni kabisa
  13. Sangabuye

    Viongozi mashuhuri wanasayansi Duniani yumo Magufuli, Pope Francis, Angel Merkel cha ajabu wote wamesoma Chemistry

    Mkuu unaweza kutujuza au ukatuambia kilefu cha hizi herufi PPE? Kama huwezi jaribu kutafuta msaada wa kujuzwa. Asante Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Sangabuye

    Dawa ya Covid-19 kutoka Madagascar ni pigo kwa Mabeberu

    Hapa bongo (Tanzania) inapatikana sana especially mkoa wa Kagera watu uitumia kama tiba ya malaria Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom