Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,563
- 2,613
Wewe mtoto una visa njoo nikuvute masikioNitapata kitambi, sitaki 🚶
Wewe mtoto una visa njoo nikuvute masikioNitapata kitambi, sitaki 🚶
sijawahi kunenepa wala kuongezeka japo bia sana na kitimoto
Mkuu limao ni alkaline ?Kula malimao na ndimu kupita kiasi kutapelekea damu yako kuwa na alkaline nyingi (alkalosis). Mwili wa binadamu unatakiwa katika balanced level, kuwa kwenye kiwango sawa acid wala alkaline isizidi.
Alkalosis inaleta matatizo kwenye mapafu wakati wa gas exchange pia inasababisha madhara kwenye figo wakati wa kuchuja damu.
Mkuu Unawajua wahindi kwa unene kweli!Limao inapunguza mafuta sana mpaka yale utakayo kuwa nayo akiba. Hata pilipili nayo ndo maana nchi kama china, india matumizi mengi ya hivi vitu ukichanganya na viungo uwezi kuwa na mihili kama ya kwetu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hopes you meant metabolic acidosisKula malimao na ndimu kupita kiasi kutapelekea damu yako kuwa na alkaline nyingi (alkalosis). Mwili wa binadamu unatakiwa katika balanced level, kuwa kwenye kiwango sawa acid wala alkaline isizidi.
Alkalosis inaleta matatizo kwenye mapafu wakati wa gas exchange pia inasababisha madhara kwenye figo wakati wa kuchuja damu.
Kuna Dr nilimsikiliza alisema kizunguzungu ni kutokana na kinga ya mwili kuzidi hasa Vitamin C kwahio ukiona hivyo unapunguza spidi kidogoHii mixer inaleta kizunguzungu ukinywa kwa spidi kali. Chukua Tahadhari.
Not really, kunakuwa na kitu kama chakura kimekwama hapo kooni hiviKiungulia sio ?
hii kweli .... naunga mkonoNipo shule sekondali kulikuwa na malimao mengi na pilipili kipindi icho basi unajua misosi ya shule tena, kama jela miaka mpaka na maliza na mpaka leo maishani mwangu sijawahi kunenepa wala kuongezeka japo bia sana na kitimoto
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mara nyingi mwili unatake care of everythingKula malimao na ndimu kupita kiasi kutapelekea damu yako kuwa na alkaline nyingi (alkalosis). Mwili wa binadamu unatakiwa katika balanced level, kuwa kwenye kiwango sawa acid wala alkaline isizidi.
Alkalosis inaleta matatizo kwenye mapafu wakati wa gas exchange pia inasababisha madhara kwenye figo wakati wa kuchuja damu.
Ndio inakuwa vipi hiyo Visceral fat?Wewe utakuwa unatengeneza Visceral Fat...Fat depostion ya ndani ambayo hainekani kwa nje.
Ndio maana unaweza shangaa mbona fulani ni mwembamba lakini kapata kisukari na Hypertension?
Chukua taadhari
Hli lina ukweli maana jino langu moja limekuwa very sensitive na lingine limekatika kipande leo, sikuwa na tatizo hili kabla ya kuanza kutumi huu mchanyatoEnamel kwenye meno inakuwa dhaifu na kusababisha meno kuwa sensitive