Uandishi huu wa message au ujumbe mfupi wa maneno unakera

Jul 8, 2013
47
65
Dunia imebadilika na sisi kama watanzania hatujawa nyuma ya baadhi ya mabadiliko.

Kusema ukweli uandishi wa message au jumbe fupi za maandishi kwa baadhi ya watu unakera hasa mnapokuwa mnajadili serious issues.

Unakuta mtu badala ya kuandika basi anaandika bac, cm badala ya simu cjui badala ya sijui, xaxa badala ya sasa.

Hii inakera na unakuta ni mtu mzima na mwenye familia anaandika hivyo.

Naona tabia hii imekithiri sana mitandaoni na hata kwenye baadhi ya mawasiliano rasmi.

Vipi mdau wa JF hili unalionaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unaona ni shida kutype tumia emoji au smiley kama una kitochi tofauti na hapo watumie maneno fasaha.
Binafsi ukileta hizo pigo inategemea nina mood ipi ila tegemea mwisho wa kuchati hapo mpaka ujirekebishe
 
Kama unaona ni shida kutype tumia emoji au smiley kama una kitochi tofauti na hapo watumie maneno fasaha.
Binafsi ukileta hizo pigo inategemea nina mood ipi ila tegemea mwisho wa kuchati hapo mpaka ujirekebishe
Smiley Nini mkuu?!

Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
 
Huu ujinga nilikuwa nao pia.....kuna mtu alinikomesha, nlimtext mambo vpi... akanijibu P akimaanisha poa...................toka hapo nikaacha ujinga wa kuandika hivo maake alinikera kunjibu hivo,( nilikumbuka ule mstari wa kwenye bible... toa bolit kwenye jicholako ndio..............) kwahyo mtu akiantext huo ujinga wala huwa sijibu kabsa .
 
Back
Top Bottom