Recent content by sandpiper

  1. sandpiper

    Jinsi kampeni ya " NO REFORM NO ELECTION" inavyo prove ubovu wa Elimu ya mkoloni( Colonial Education) kwa waafrika

    Umetumia mbinu ya kuponda elimu ili kujiridhisha na mawazo yako. Kaa tena ufikirie kwani hauelewi uhalisia wa Siasa za Tanzania.
  2. sandpiper

    Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa

    Mtazamo wako ni very negative, yaani wewe ni pessimist pro max! Moto ni alama ya power, na pia mwanzo mpya Tuna kasumba ya kuona vitu vya wenzetu vya maana kama mwenge wa Olympic alafu mwenge wa uhuru hauna maana. Baadhi ya vitu vya kujivunia ambavyo ni vya kwetu hata wageni waje kuona ni...
  3. sandpiper

    Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

    Tulizidiwa maarifa kwenye silaha na elimu dunia. Walitutawala wakaigawa Africa kwenye Berlin Conference 1885-1886 . Tulifanywa watumwa wa fikra na imani . Kwa kifupi tumetawaliwa hata sasa , majina yetu ni ya kizungu watoto wetu ni kama vimdoli vinavyoongea English na kuringia vyakula vya...
  4. sandpiper

    Joseph Mrindoko wa wachokonozi azichana vibaya shule za English Medium

    Tanzania kwa sasa wako vizuri sana hapa Afrika Mashariki kuliko Nchi zingine. Kwa kutumia kipimo cha utalii wageni wengi wafurahi kuwa Tanzani na mawasiliano yanaeleweka. Hawa wengine wakiongea English hata haileweki lafudhi mbovu sana. Mtz akijua lugha anaongea unafurahi kusikiliza
  5. sandpiper

    Unajuaje dhehebu, dini au imani uliyopo si ya kitapeli (cult)?

    Kanisa lina miradi mbalimbali inasimamiwa na kanisa. Wanapata sadaka kila jpili. Alafu kama hailipi si wafanye kazi zingine??
  6. sandpiper

    Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

    Neno Mungu halitoshi kuelezea na limezoeleka mpaka ile maana imepotea. Ukisema Asali Asali hata mara milioni moja hautaweza kusikia utamu wake mpaka uionje. Mungu yupo na hayupo !!! Uwepo na kutokuwepo kwake hatuwezi kujua kwa ubinadam wetu.
  7. sandpiper

    Unajuaje dhehebu, dini au imani uliyopo si ya kitapeli (cult)?

    Na wale wanaoambiwa watoe fungu la kumi ya kipato chao eti Mungu ndio anataka. Tokea lini Mungu ana shida na pesa?
  8. sandpiper

    Wenye nguvu ya giza walivyopendelewa

    Umepotea mbali sana na ukweli, kwa sababu hiyo hautakaa kamwe upate furaha yeyote kwenye maisha yako. Huna tofauti na mtu aliefunga macho alafu analalamika kwamba haoni. Umepewa uhai na akili alafu unaishia kulalamika kana kwamba unanyanyasika. Kila mtu anapewa masaa 24 na wewe unapewa hayo...
  9. sandpiper

    Msaada wakuu kuhusu app ya movies na series ambayo ina subtitles moja kwa moja

    Download movies na series kwenye site ya piratebay.org lakini kwanza download free downloader manager app kwa ajili ya magnetic torrents utaziona hapo. Kwa subtitles hiyo ni ishu nyingine
  10. sandpiper

    Serikali ijaribu sera ya madaraka mikoani, yaweza kabisa kuibadili nchi yetu ndani ya kipindi kifupi

    Ni wazo zuri , Ila njia nyingine Tunaweza kuweka mfumo wa kikanda mfano Kanda ya Kaskazini ambapo kutakuwa na Gavana mwenye madaraka na baraza lake la wawakilishi kama vile Zanzibar, kwa kila kanda na hapo maendeleo yataenda kwa kasi na kutakua na ushindani. Nafikiri kwa uwezo wetu kiafrika...
  11. sandpiper

    Wachungaji kutaka fungu la kumi kwa lazima

    Fungu la kumi unatakiwa ujipe wewe mwenyewe na sio kutoa kokote. Biblia inatuongoza Mungu anataka nini kwetu soma Hosea 6:6 upate majibu.
  12. sandpiper

    Ajira zilizoko mbioni kutoweka

    Watu wengi wanapendelea watoto wao waje kufanya kazi ambazo wao wanafanya . Lakini miaka inayokuja baadhi ya ajira zitakuwa hazipo tena badala zitafanywa na maroboti au mashine. Hizi ni baadhi ya ajira ambazo ziko mbioni kutoweka: Bank teller Mara nyingi ukienda benki kuweka au kutoa pesa...
  13. sandpiper

    Kadri siku zinavyozidi kwenda uwepo wa Mungu unaonekana kuwa ni hadithi za kutunga

    Neno Mungu au Kiingereza GOD limezoeleka na kukosa maana halisi ya inachokieleza. Ni sawa kusema rangi ya kijani kwa kipofu ambaye haoni . Inabaki kuwa neno tu lisilo na uzito wowote. Kipofu akibisha hakuna rangi utamwakikishiaje? Utamwonyeshaje? Uwepo wa nguvu, roho au uwezo wa zaidi ya...
  14. sandpiper

    Mwl Nyerere National park another powerful legacy of Magufuli

    Nyerere National Park, Burigi Chato National Park. Tuongeze zingine hazitoshi hata Tundu Lissu National Park mpaka wale was jirani wanaosema Olduvai na Kilimanjaro ni ya kwao watulie kwani sisi sio saizi yao.
  15. sandpiper

    Hoja ya Polepole na hoja ya Gwajima juu ya chanjo ya Covid-19

    Chanjo kuwa ya muda na sio ya kudumu sio jambo jipya . Kila mwaka wazungu wanachanjwa flu shot mpya kwani virusi wa flu wanabadilika kila Mara kiasi chanjo ya zamani haifanyi kazi. Ni aibu kwa viongozi kama hawa waliopewa dhamana kushindwa kuongoza watu kwenye maamuzi sahihi kwa maisha yao.
Back
Top Bottom