Recent content by samylimi

  1. S

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Mazuzu bana akili zao finyu sana kama Nyerere hakuthubutu kuichezea demokrasia nyie wapuuzi ambao hamna hata direction mnawaza hayo kazi ipo hv lini mtakuwa na mawazo positive.
  2. S

    UKAWA mbona kimya kuhusu ufisadi na mafisadi?

    Are crazy? We hujui muda wa kampeni umeisha sasa vyama vinajipanga upya kivingine? Fool!!!
  3. S

    Tulichokunywa na kula Ikulu Chamwino

    We ndugu yng zuzu kwel......sasa hizo juice zenu cc zinatuhusu nn? We bora hata umekunywa juice kuna watu hata hawajatia kitu mdomoni tangu cku imeanza. Hebu rudi kajipange uje na mada inayogusa maisha ya watu hizo ctor za viwanda na hadithi za Abunuasi subirini muone.
  4. S

    Dodoma Leo: Kwani CCM, UKAWA mmejipangaje?

    Gamba at hungry
  5. S

    Mbowe hafai kuwa KUB

    Nanaona magamba yanatoa mada na kuchangia yenyewe. Jitahidini vijana mbeleni mnaweza kuteuliwa hata ukuu wa wilaya.
  6. S

    CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

    Mmmh hivi kuna uhusiano wowote wa kuwa ccm na utahira? Hivi hii ccm ndo chama kikongwe kweli na kuwa mfano wa kuigwa kwa vyama vichanga? Mnahubiri democracy but yourself u didn't practice it. Hivi huyo dr. Tulia c amepitishwa kibabe wala sio kidemokrasia na hili lilianekana tangu mwanzo tu...
  7. S

    Viongozi wakuu wa nchi na Ualimu ni kusudio la Mungu kwa Walimu?

    Acheni ujinga kuna mtu yyt anayemtambua mwl zaidi ya tumbo lake, familia yake na chama chake? Mnaongea tu kishabiki si ndo hao wamewakopa walimu hela zao za cwt hapo kuna huruma yyt kwel? Kuweni na mawazo ya mbali sio kukurupuka kuandika uzi tu. Shiiiiiiiiit!!
  8. S

    Dk. Tulia Ackson apitishwa na wabunge wa CCM kuwania Naibu Spika wa JMT

    Ina maana haka kadada ni bora kuliko zungu? Kweli ccm ni ile ile
  9. S

    CCM Tusifanye Makosa Tunatakiwa kuwa na Naibu Spika Msomi Hakuna Namna!

    Acha wafu(magamba) wazikane wao kwa waao
  10. S

    Devotha Minja wa ITV Morogoro

    Eti mtu anashangaa mwandishi wa habari coz amechaguliwa chadema ila hashangai naibu mwanasheria mkuu wa serikali kugombea uspika kwa mlango uleule wa chama. Kwi kwi kwiiiiiii
  11. S

    Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

    We babeli ni pumba tu baki na ccm yako chadema yanini tena? Eti chadema asilia....uzuzu huo chadema ni moja hayo matabaka peleka lumumba walikozoea makundi.
  12. S

    Mh Lowassa, Umejitoa au Mbinafsi?

    Ww jingalao ni lini utskuwa na akili ya kiutu uzima? Akili yako kiduchu hata sisimizi anakuzidi
Back
Top Bottom