Mazuzu bana akili zao finyu sana kama Nyerere hakuthubutu kuichezea demokrasia nyie wapuuzi ambao hamna hata direction mnawaza hayo kazi ipo hv lini mtakuwa na mawazo positive.
We ndugu yng zuzu kwel......sasa hizo juice zenu cc zinatuhusu nn? We bora hata umekunywa juice kuna watu hata hawajatia kitu mdomoni tangu cku imeanza. Hebu rudi kajipange uje na mada inayogusa maisha ya watu hizo ctor za viwanda na hadithi za Abunuasi subirini muone.
Mmmh hivi kuna uhusiano wowote wa kuwa ccm na utahira? Hivi hii ccm ndo chama kikongwe kweli na kuwa mfano wa kuigwa kwa vyama vichanga? Mnahubiri democracy but yourself u didn't practice it. Hivi huyo dr. Tulia c amepitishwa kibabe wala sio kidemokrasia na hili lilianekana tangu mwanzo tu...
Acheni ujinga kuna mtu yyt anayemtambua mwl zaidi ya tumbo lake, familia yake na chama chake? Mnaongea tu kishabiki si ndo hao wamewakopa walimu hela zao za cwt hapo kuna huruma yyt kwel? Kuweni na mawazo ya mbali sio kukurupuka kuandika uzi tu. Shiiiiiiiiit!!
Eti mtu anashangaa mwandishi wa habari coz amechaguliwa chadema ila hashangai naibu mwanasheria mkuu wa serikali kugombea uspika kwa mlango uleule wa chama.
Kwi kwi kwiiiiiii
We babeli ni pumba tu baki na ccm yako chadema yanini tena? Eti chadema asilia....uzuzu huo chadema ni moja hayo matabaka peleka lumumba walikozoea makundi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.