UKAWA mbona kimya kuhusu ufisadi na mafisadi?

UKAWA mbona kimya kuhusu ufisadi na mafisadi?

Nanukuu gazeti la HABARILEO

"UKIMYA wa wanasiasa walioongoza harakati za kupambana na ufisadi katika majukwaa ya kisiasa, wakati huu Serikali ikichukua hatua za wazi na haraka kukabiliana na ubadhirifu wa mali za umma, umeibua maswali kuhusu uzalendo kwa nchi yao.

Miongoni mwa wanasiasa waliohusishwa na maswali hayo ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana, Mhadhiri Mwandamizi wa Masuala ya Siasa na Utawala wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Benson Bana, alisema kama kweli ni wazalendo, ni vyema wale wote waliokuwa wakipinga ufisadi wajitokeze hadharani, kupongeza hatua zinazoendelea kuchukuliwa".

Nami naongezea "magwiji wa kuzungumzia ufisadi - Lissu, Mnyika, Mdee nk" mko wapi kumuunga mkono Rais hata kwa kumpa majina ya mafisadi, au ndo mmefungwa
Midomo!


Mimi nilitaraji Magufuli ndio awapongeze wapinzani waliokuwa wakisema ukweli siku zote bila serekali kuchukua hatua. Wapinzani wamepiga kelele mpaka sasa makoo yamewakauka wanasubiri yale yote waliyokuwa wakiyasema yatekelezwe kisha wapongeze, maana wanajua ukianza kusifia sasa kuna hatari ya mgema akisifiwa....
 
Hawawezi kupongeza watu waliojitwalia madaraka kwa njia haramu
 
Nanukuu gazeti la HABARILEO

"UKIMYA wa wanasiasa walioongoza harakati za kupambana na ufisadi katika majukwaa ya kisiasa, wakati huu Serikali ikichukua hatua za wazi na haraka kukabiliana na ubadhirifu wa mali za umma, umeibua maswali kuhusu uzalendo kwa nchi yao.

Miongoni mwa wanasiasa waliohusishwa na maswali hayo ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa.

Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana, Mhadhiri Mwandamizi wa Masuala ya Siasa na Utawala wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Benson Bana, alisema kama kweli ni wazalendo, ni vyema wale wote waliokuwa wakipinga ufisadi wajitokeze hadharani, kupongeza hatua zinazoendelea kuchukuliwa".

Nami naongezea "magwiji wa kuzungumzia ufisadi - Lissu, Mnyika, Mdee nk" mko wapi kumuunga mkono Rais hata kwa kumpa majina ya mafisadi, au ndo mmefungwa
Midomo!

Kumbuka upinzani ndio ulikua unasema kuhusu ufisadi sasa kazi yao ni kumtonya jamaa maeneo yenye ufisadi na jamaa anayafanyia kazi na ole wao ccm wajaribu kumzuia watakiona cha moto.
 
Agenda kubwa ya upinzani hadi kuamua kuungana na kuunda UKAWA ilikuwa UFISADI na RUSHWA. Na wasidhani ilikuwa tu agenda ya Upinzani, bali agenda ya Watanzania wote.

Miezi minne iliyopita hii agenda ilianza kupotea mdogo mdogo na sasa imepoa kabisa kwa upande wa UKAWA. Yaani hawasikiki kabisa.

Tuambieni kama aliyewafunga midomo ni raisi Magufuli, mpongezeni basi. Watanzania tuna desturi hiyo. Ufisadi na Rushwa bado havijafanyiwa kazi ipasavyo, raisi anajitahidi sana lakini tumpe ushirikiano. Au bado mnasheherekea ushindi wa wenyeviti wa mitaa, madiwani na wabunge bado mnasahau kazi?

Kwakuwa raisi Magufuli ameonyesha na anafanya kwa dhati kupambana na hao Mafisadi, mpeni ushirikiano hasa ule mkutano wa Mwembeyanga wa kutaja hadharani mafisadi papa. Pelekeni vielelezo kwake wakuu.
 
Agenda kubwa ya upinzani hadi kuamua kuungana na kuunda UKAWA ilikuwa UFISADI na RUSHWA. Na wasidhani ilikuwa tu agenda ya Upinzani, bali agenda ya Watanzania wote.

Miezi minne iliyopita hii agenda ilianza kupotea mdogo mdogo na sasa imepoa kabisa kwa upande wa UKAWA. Yaani hawasikiki kabisa.

Tuambieni kama aliyewafunga midomo ni raisi Magufuli, mpongezeni basi. Watanzania tuna desturi hiyo. Ufisadi na Rushwa bado havijafanyiwa kazi ipasavyo, raisi anajitahidi sana lakini tumpe ushirikiano. Au bado mnasheherekea ushindi wa wenyeviti wa mitaa, madiwani na wabunge bado mnasahau kazi?

Kwakuwa raisi Magufuli ameonyesha na anafanya kwa dhati kupambana na hao Mafisadi, mpeni ushirikiano hasa ule mkutano wa Mwembeyanga wa kutaja hadharani mafisadi papa. Pelekeni vielelezo kwake wakuu.

Subiri tuwapeleke woote walio shiriki kuiba ela za escrow wakiwepo viongizi wakuu wa ccm
 
Agenda kubwa ya upinzani hadi kuamua kuungana na kuunda UKAWA ilikuwa UFISADI na RUSHWA. Na wasidhani ilikuwa tu agenda ya Upinzani, bali agenda ya Watanzania wote.

Miezi minne iliyopita hii agenda ilianza kupotea mdogo mdogo na sasa imepoa kabisa kwa upande wa UKAWA. Yaani hawasikiki kabisa.

Tuambieni kama aliyewafunga midomo ni raisi Magufuli, mpongezeni basi. Watanzania tuna desturi hiyo. Ufisadi na Rushwa bado havijafanyiwa kazi ipasavyo, raisi anajitahidi sana lakini tumpe ushirikiano. Au bado mnasheherekea ushindi wa wenyeviti wa mitaa, madiwani na wabunge bado mnasahau kazi?

Kwakuwa raisi Magufuli ameonyesha na anafanya kwa dhati kupambana na hao Mafisadi, mpeni ushirikiano hasa ule mkutano wa Mwembeyanga wa kutaja hadharani mafisadi papa. Pelekeni vielelezo kwake wakuu.

Kwani mimba yako bado haijafikisha miezi ya kujifungua?
 
Are crazy? We hujui muda wa kampeni umeisha sasa vyama vinajipanga upya kivingine? Fool!!!
 
Ukawa wakiongea shida wasipoongea shida!! Waliyoyataka ndio rais anayafanyia kazi sasa waongee nini tena?Upuuzi wa kupongezana hovyo hovyo ili iweje? Kweli utimize wajibu wako halafu upongezwe wakati ni sehemu ya majukumu yako?? So obnoxious!
 
duh kweli kuna watu vilaza probation ni miezi mitatu unataka tuongee nini saa hizi kwa mtu mwenye contract ya miaka mitano... bado tunachambua na kuchambua ...
 
duh kweli kuna watu vilaza probation ni miezi mitatu unataka tuongee nini saa hizi kwa mtu mwenye contract ya miaka mitano... bado tunachambua na kuchambua ...
Mnachambua nini, wakati agenda ya ufisadi na kutakatisha pesa aliondoka nayo Dr. Slaa. Mkaleta fisadi asimamie falsafa asiyoielewa...
UKAWA hadi sasa hamjitambui, tangu aondoke Slaa, mnabadilisha gear angani bila acceleration yoyote...
Kwa genge la wana UKAWA nchi mtaisikia kwa wana ccm.
 
Hivi kati ya Ukawa na CCm nani fisadi? Hivi mwenyekiti wenu ni msafi, na hauo mnayoyaona ya sasa ni dhidi ya ukawa au maccm? Fikiri kidogo kama panzi utaona.
 
Back
Top Bottom