Kitena
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 339
- 255
Wamesema hawataki hotuba? Rais atahutubia tuu, lakini utata waliosema ni wa Shein kuingia kama Rais wakati muda wake umekwisha na majibu kuhusu nini katiba inavyosema hayajajibiwa ipasavyo bali kihuni huni na AG kama vile bora liende.
Sasa ili kuheshimiana, wao nao wanao wajibu wakuonyesha kuwa Shein hastahili kuingia mle. Wataonyeshaje? Hilo mtalijua wakati ukifika.
Hivi huyo Shein kama angekuwa na malaria angeletwa hapo akiwa kitandani? Hivyo sio lazima aingie, kama mumeona kuna utata SII ASIJE TUU? Mbona mnalazimisha sana?
Eti wanategemea kuwatoa msobe msobe wakishangilia bila ukomo na Rais akishindwa kuhutubia? Hiyo misobe misobe hata wananchi wanaipenda kwani wanajua kuwa kumbe wawakilishi wao wakiamua kutetea kitu hawajikombi na wanasimamia wanalo amini. Ushahidi ni jinsi Mhe. Sugu alivyo komba kura na kuwa mbunge mwenye kura nyingi bungeni
Hakuna mwananchi anaefurahia upuuzi wanaoufanya watu waliowatuma kuwawakilisha(wabunge)
Pia kama mtu alikuwa haafiki matokeo kulikuwa na haja gani ya yeye kuingia bungeni na kula kiapo.
Unakula kiapo bungeni huku ukijua kuwa Rais wako sio halali hali kwamba ukijua kuwa yeye huyo ndie anaekuja kuhutubia na kulifungua bunge.
Kama walikuwa hawana mpango na kama walikuwa na uzalendo wa kweli kwa taifa na kama kweli sio wapo kimaslahi na ili kuonesha umma wa watanzania kuwa matokeo ya Rais yalikuwa batiri sioni haja ya wao kula kiapo.